kijanamdogo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 231
- 176
Wadau hasa waumini wa dhehebu la kikatoliki je ni kwanini Askofu akifa huzikwa ndani ya kanisa na sio eneo la makaburi walipozikwa hata Mapadre? Nasema hivi kwani nimeshuhudia Askofu wa kwanza wa Jimbo la Mahenge marehemu Elias Mchonde alizikwa kanisani.