Na wewe utatoka kifua mbele kujiita msomi,
Msomi anayeleta hoja za kipuuzi, Binaadam atajionaje Mnyama? Hujui hata maana ya Gender Identity halafu unapuyanga puyanga kama Kuku kishingo.
Dogo hauwezi kushindana na nature hata siku moja na ndio chanzo cha wewe kukimbia hayo maswali mawili mepesi sababu hauwezi kujibu na hayawezekani kujibu.
Hayo mambo ya usawa ni nonsense haya ukitumia grammar kuelezea.
Ni weak na haujiamini mkuu yote sababu ya hiyo weak mentality, au kama unaona sipo sahihi basi jibu yale maswali and prove me wrong.
Udhaifu wa mtu unaweza kuwa ata kwenye kuamini watu
Mfano mm udhaif wangu mkubwa kumuamin mtu mapema na ww unaweza ukawa udhaifu wako ni pesa yaani ww ukiona pesa hata Kama una hasira Ukiona pesa unacheka