Suala la ajira kwa madereva na bima zao limefikia wapi?

ikhlas

JF-Expert Member
Jun 25, 2015
1,049
1,301
Jamani naomba kuuliza, wanasiasa wetu walilipigia sana kelele suala la ajira kwa madereva wetu hapa nchini pamoja na bima zao..sasa naona kimyaaaaaaa

je wamefikia wapi?
Au ndo unasubiriwa msimu ufike ndo tuanze tena kukurupuka?
 
Back
Top Bottom