Soma lugano sikukuu zipo tu utazikuta hadi utazichoka ...kusoma ni kujitoa na kusahau mambo mengine kwa muda. Tafuta kilichokupeleka sua utafurahi siku moja ukisoma kwa bidii.
Aisee Sua sio kwa failures labda mnaongelea chuo kingine. Na graduates wengi was Sua huwa wanajiajiri.
sasa wewe sio actual girl ni potential...jina unalotumia ni ambigious...then mbona watu wanakula bata bana muda ndo huu huwezi kuzikuta hizi bata hapo badae...
Soma lugano sikukuu zipo tu utazikuta hadi utazichoka ...kusoma ni kujitoa na kusahau mambo mengine kwa muda. Tafuta kilichokupeleka sua utafurahi siku moja ukisoma kwa bidii.
Aisee Sua sio kwa failures labda mnaongelea chuo kingine. Na graduates wengi was Sua huwa wanajiajiri.
Ubaya wa kusoma vyuo ambavyo havina future, kumeza sana majina ya wadudu na kuchambua udongo weeee, mwisho wa siku unakuja kuomba kazi ya u-banki teller au unakuwa producer wa music kama Hammy-B ambaye amemaliza SUA.
Ubaya wa kusoma vyuo ambavyo havina future, kumeza sana majina ya wadudu na kuchambua udongo weeee, mwisho wa siku unakuja kuomba kazi ya u-banki teller au unakuwa producer wa music kama Hammy-B ambaye amemaliza SUA.