SUA first year students tukutane hapa

SUA first year students tukutane hapa

wilsonilanga

Member
Joined
May 26, 2013
Posts
79
Reaction score
14
Wanafunzi wa first year sokoine university of agriculture tukutane hapa kubadilishana mawazo naomba kuwasilisha maada
 
Hapa kuna coz nyngi tu na siyo agriculture tu na hiyo agriculture ni engeneering agriculture pia kuna coz za uwalimu masomo ya sayansi isipokuwa somo la physics katika point kwa upande wa coz ya agriculture engeneering ni kuanzia 5 na kuendelea na uwe umefaulu vizuri somo la physics pia chuo hiki hakina bata hata iwe coz ya uwalimu hapa ni kazi tu grade ya ufaulu katika somo chuo hiki ni 50 ukipata below ujue umefeli chini na 50
 
Hapa kuna coz nyngi tu na siyo agriculture tu na hiyo agriculture ni engeneering agriculture pia kuna coz za uwalimu masomo ya sayansi isipokuwa somo la physics katika point kwa upande wa coz ya agriculture engeneering ni kuanzia 5 na kuendelea na uwe umefaulu vizuri somo la physics pia chuo hiki hakina bata hata iwe coz ya uwalimu hapa ni kazi tu grade ya ufaulu katika somo chuo hiki ni 50 ukipata below ujue umefeli chini na 50

Usiseme SUA hakuna bata, jisemee wewe kwamba hauna bata.
 
Siyo hivyo bwana Mkubwa ni heri ukamwambia mtu ukweli kuliko kusema uongo sema kweli Ndugu usidanganye
 
Samahan ningependa kujua agriculture economics ina base kwenye agriculture pekee au
 
Bsc. Agricultural Economics and Agribusiness (AEA). Inatolewa katika kampasi ya Solomon Mahlangu au kama ilivyozoeleka kuitwa Mazimbu.
Kimsingi hii ni kozi inayohusisha KILIMO, BIASHARA na UCHUMI.

Vigezo;-
Kwa kidato cha sita (directs)
Nanukuu;-
" Two principal passes in Economics/Mathematics/Geography/Commerce/Accounts/Physics/Chemistry Agriculture/ Biology/Zoology/Botany. Candidates must have at least a pass in mathematics at O-level"

Kwa diploma (equivalents);-
Nanukuu;-
" Diploma Certificate with a GPA of not less than 2.7 in Agriculture or related fields and THREE credits or FOUR passes in relevant subjects at O-level."

Mwisho wa kunukuu.

Ni kozi ya miaka mitatu, ada yake ni 1,263,000/= admission capacity ni wanafunzi 220 na mkopo ni priority (kwa mujibu wa TCU guidebook ya mwaka Jana yaani 2015/2016).

Karibuni.
 
Hapa kuna coz nyngi tu na siyo agriculture tu na hiyo agriculture ni engeneering agriculture pia kuna coz za uwalimu masomo ya sayansi isipokuwa somo la physics katika point kwa upande wa coz ya agriculture engeneering ni kuanzia 5 na kuendelea na uwe umefaulu vizuri somo la physics pia chuo hiki hakina bata hata iwe coz ya uwalimu hapa ni kazi tu grade ya ufaulu katika somo chuo hiki ni 50 ukipata below ujue umefeli chini na 50
Utaratibu umebadirika huko sua? Maana qualifications za kozi zote zilikuwa ni flat ambazo ni 4 points, kwa kozi za engeneering Kama hauna physics au chemistry advance basi o level uwe umepata C na kuendelea hasa kwa watu wenye EGM, kuhusu bata mbona watu wanakula tu bata vizuri maisha club kihonda hapo, ila kiujumla SUA si pakitoto yaani panahitaji msuli haswaa.
 
Kwahiyo mtu aliyesomea HGE advance ataweza kusoma hiyo agriculture economics
 
Kwahiyo mtu aliyesomea HGE advance ataweza kusoma hiyo agriculture economics
Hakikisha unapata points nzuri hiyo kozi wanaoomba ni wengi. HGE unasoma hiyo AEA.
 
Back
Top Bottom