Mkoani Mara wanaovaa nguo za CCM ni wachache sana. Hata wakipewa bure hawataki. Mpaka hivi sasa hakuna alieenda kujaza fomu za Uongozi wa Serikali za mitaa kupitia CCM.
Mkoani Mara wanaovaa nguo za CCM ni wachache sana. Hata wakipewa bure hawataki. Mpaka hivi sasa hakuna alieenda kujaza fomu za Uongozi wa Serikali za mitaa kupitia CCM.
Hapo inabidi Chadema watumie makachero watakaojifanya kuwa ni ccm ili wachukue hizo fomu na kisha kutwaa uongozi wa serikali za mitaa. Chadema wekeni mapandikizi yenu ndani ya ccm ili ife vizuri!!
Nakuunga mkono. Inabidi tuheshimu na kumpa privacy marehemu na pia tuheshimu hisia za familia yake hata kama tuna masikitiko na tulimpenda, kumthamini na kuheshimu mchango wake
Yaani tangu tarehe 5 mwezi 2 mwaka 1977 bado wanatangaza Chama kwa khanga na T shirt? Hatari sana mpaka waje wafike kujitangaza kwa sera na amendeleo Mlima Kilimanjaro utakuwa umefika Dodoma unarudi kwao.
Nakuunga mkono. Inabidi tuheshimu na kumpa privacy marehemu na pia tuheshimu hisia za familia yake hata kama tuna masikitiko na tulimpenda, kumthamini na kuheshimu mchango wake