kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
"Wadau wa muziki wa bongo flava wamepumua kwa shukrani baada ya JK kuahidi kuwatengezea studio kubwa na ya kimataifa ya muziki ili kuwasaidia kujikwamua kiuchumi na kisanii.
JK ametoa ahadi hiyo kwenye hafla ya kutimiza miaka 3 kwa THT ambapo alikuwa mgeni rasmi kwenye hafla hiyo iliyoandaliwa na vodacom". Michuzi Blog.
vijana wa bongo flavor walisweti kumsaidia kurudi madarakani wakitegemea kuwa watapatiwa studio ya kurekodi nyimbo zao, imefahamika kuwa vyombo hivyo vya kurekodiwa muziki (STUDIO HIYO) wamepewa THT kwa maombi maalum kwa JK. Hii ni kwa mujibu wa tamko la waziri wa Habari ambaye alisema studio hiyo ni ya THT kwa maombi maalum kwa rais. Yaani studio si ya wasanii wote wa bongo flavor bali ya Ruge M. na THT yake na msanii mwingine hana chake, atarekodi kwa bei kama ya studio nyingine na sio kwa bei ya neema aliyoahidi JK.
JK nimemvulia kofia, heshima kwake, jamaa ni muongo hana mfano. Wasanii wetu nao wamezidi kujirahisi mno, wanatumika kila uchaguzi baada ya hapo wanamwaga, jifunzeni.
No wonder hawa Jamaa wa Clouds wanajikomba sana kwa Jk mpaka kumwandalia birthday kumbe wananufaika na tujimisaada
JK ametoa ahadi hiyo kwenye hafla ya kutimiza miaka 3 kwa THT ambapo alikuwa mgeni rasmi kwenye hafla hiyo iliyoandaliwa na vodacom". Michuzi Blog.
vijana wa bongo flavor walisweti kumsaidia kurudi madarakani wakitegemea kuwa watapatiwa studio ya kurekodi nyimbo zao, imefahamika kuwa vyombo hivyo vya kurekodiwa muziki (STUDIO HIYO) wamepewa THT kwa maombi maalum kwa JK. Hii ni kwa mujibu wa tamko la waziri wa Habari ambaye alisema studio hiyo ni ya THT kwa maombi maalum kwa rais. Yaani studio si ya wasanii wote wa bongo flavor bali ya Ruge M. na THT yake na msanii mwingine hana chake, atarekodi kwa bei kama ya studio nyingine na sio kwa bei ya neema aliyoahidi JK.
JK nimemvulia kofia, heshima kwake, jamaa ni muongo hana mfano. Wasanii wetu nao wamezidi kujirahisi mno, wanatumika kila uchaguzi baada ya hapo wanamwaga, jifunzeni.
No wonder hawa Jamaa wa Clouds wanajikomba sana kwa Jk mpaka kumwandalia birthday kumbe wananufaika na tujimisaada