Struggling To Abstain


Hiyo ya kuelezea mapungufu nakubali, ila pia tukubali kwamba mtu anapojua mapungufu (na si lazima uweke wazi kila kitu) huwa inasaidia hata yeye anavyojipanga. I am sure huyo jamaa angejua hali ya dada, angeondoka nae au wangepanga ratiba ya namna fulani...

Lakini ngoja kidogo... jinsi huyo dada anavyoelezea kuhusu akiona wanaume wazuri, mikoni, mwili wa mazoezi nk. nahisi kabisa kwamba hata jamaa angekua hapa bado angemegwa kwani she is alredy letting the sexy attracts in her very own eyes with acknowledgemet

Believe me, kitendo cha kuanza kuangalia na kutamani ni addictive na ukishaanza huwezi kuacha hata iweje, na bahati nzuri sana siku hizi vijana wako makini na miili yao na wanavutia sana tu. I am resigning kabisa kama huyo dada atasurvive, mijenenge ya vijana
 
Kamwe haiwezi kukidhi haja yake huyo mrembo kwa mujibu wa maelezo yake hapo juu. She needs the real thing!
u right Masaki Mast... haiwezi kukidhi haja yake lakini atleast she will sleep hahaa...and she dont have to go and bang any man...
 

Hiyo ni kweli.Anaweza mwambia mumewe halafu akabomoa badala ya kujenga.Ukizingatia na huyo mumewe naye pengine anawakati mgumu kule USA na anamega nje vilevile bila kujitahidi kuabstain.Na mara nyingi wanaume huwa wanapenda wamege wao lakini wasimegewe vyao.
 
ha ha ha acha mchezo na kumegewa bana!! he he he ngoja wadumisha mila waione hii!!
 
Ukichunguza sana charity hiyo ya maji moto ni aina ya masturbation kwani kazi yake kuu ni kupunguza mhemko/ashki ya kufanya ngono. Tofauti yake ni kwamba haihusishi fantasies na wala haiendi deep. Unakuwa kama unafanya cleansing tu ya kawaida.

Nina alergy na hili neno mastabesheni,to me it sounds illegal.Lakini hii njia ya maji moto it sound natural kuliko zile nyingine za tango,ndizi au uume wa plastic.Kwa sababu mara nyingine hata mtu akiwa na maumivu ya hedhi hii ya kujikanda na maji moto huwa wataalamu wanasema inasaidia.
 

Kwanza siku hizi mabinti wanasema wanajua kila kitu kabla ya kuolewa, so no need ya makungwi.
Mtu unaolewa unajua kila kitu na sometimes tayari una ujauzito au watoto kadhaa, mume umeshakaa naye vya kutosha, sasa kungwi atakufundisha nini?
 
Kwanza siku hizi mabinti wanasema wanajua kila kitu kabla ya kuolewa, so no need ya makungwi.
Mtu unaolewa unajua kila kitu na sometimes tayari una ujauzito au watoto kadhaa, mume umeshakaa naye vya kutosha, sasa kungwi atakufundisha nini?
Kazi za kungwi siku hizi zimemezwa na vitchen parties ambazo bahati mbaya zimekuwa too much modified kiasi cha kupoteza kabisa maana.

Ni kweli mtu anaolewa na mimba, watoto wanasahau kuwa ndoa ni zaidi ya kufungua miguu- ina mambo mengi ambayo katu zile mada zinazotolewa na walioandaliwa ktk kitchen party hazikidhi. Ndoa ni msitu mnene ambao mwanzo wake umepambwa na vichaka vya wazi vifupi vyenye kupendeza ila ndani ni miyombo, mikoko na kila aina ya miti yenye kufunga. So muolewaji na muoaji ni vizuri wakajua namna ya kukabiliana nayo na kujua ni silaha za aina gani za kubeba- sio unaingia msitu uliofunga we wabeba jembe au mshale badala ya panga au fyekeo.
 
Maana yangu ni kwamba utaijenga akili yako kuamini kuwa hiyo mastur... ni badala ya mumeo.
Yani kama mama mtu anaweza kusex na hausiboi na akajisikia kuwa ameridhishwa sana,hapo kadharau kataanza kwa mumewe na kumuona kuwa si lolote.
Ni sawa na mastrubation,unaweza ukaiona kuwa ni bora zaidi na inakufikisha kuliko mumeo.Na siku ukakutana na mumeo utakuwa wa baridi na ndio hapo Matatizo ya ndoa nyingi huwa yanaanza.
 

Big up MJ1! Umesema yote ya busara.
kitchen party za siku hizi za kufanyia bar!
 
have u ever thought of the word masturbation?... yes it can be handy🙂

hapa shosti unampotosha wala humshauri
atahri za hii kitu ni mbaya sana usije ukamfany amwenzio asifurahie tena tendo la ndoa......mweh!!!
 
u right Masaki Mast... haiwezi kukidhi haja yake lakini atleast she will sleep hahaa...and she dont have to go and bang any man...
Afu nishawahi sikia haya mambo ya kupandisha hamu bila kufanya real thing huwa yna madhara kwa wanawake.Yanaleta ugonjwa wa kuchekacheka na kupagawa.
 
hapa shosti unampotosha wala humshauri
atahri za hii kitu ni mbaya sana usije ukamfany amwenzio asifurahie tena tendo la ndoa......mweh!!!
nimeikuta kweye articke moja....effects of 'penzi binafsi' for woman"..
............all these are totally false! There is no truth in the belief that frequent masturbation is harmful to health
 
nimeikuta kweye articke moja....effects of 'penzi binafsi' for woman"..

anyway am a big gurl and I would rather do the real thing........
 

Wewe fanya mazoezi magumu kama ya spining hii ni dawa tosha kabisa ya hili tatizo. Kweli ukipiga spining for at least 1 hour kwa wk hii hali ikiendelea tafadhali chukua visa haraka nenda USA kwa vile wewe utakuwa una special talent au siku hizi tunasema wewe ni extreme.
 
anyway am a big gurl and I would rather do the real thing........
Nimekusoma......ila kwa hayo matatizo ya huyo bibie for me nadhani hii inaweza msaidia maana kasema anogopa kutafuta the real...maana jamaa yupo mbali!!
 
hapa shosti unampotosha wala humshauri
atahri za hii kitu ni mbaya sana usije ukamfany amwenzio asifurahie tena tendo la ndoa......mweh!!!
bht u know i respect u alot... lakini sasa nimempotesha wapi hapo shosti...what is worst akaparamie mababa ya nje au aji cool mwenyewe.....sasa kama mme wake hayupo and her body is responding what she is suppose to do? why ppl thinks masturbation is bad thing? halafu kama nilivyo sema kwenye post nyingine... there is nothing like a real thing so I dont see any danger of getting addicted... it will actually help her to explore her G-spot even better and improve her sexually life with husband...

I am done with sex topic today... hahaha... have a lovely day...
 

kwani mi sijakuheshimu jamni shostito mbona hivoo???

jamani si tunafundishwa kuwa chaste before and after marriage lakini??
atumie mbinu hizoalizopewa na MJ1 na DN naona ni nzuri zaidi
hata hivyo kipindi cha uchavushaji kw amwanamke ni siku chach tu nadhani anaweza kuhimili kwa kuzingatia ya Nguli , MJ1 &DN

AAAAH USIONDOKE BIBIE.......
 
anyway am a big gurl and I would rather do the real thing........
now u r talking... nothing can bit the real thing but huyu dada mume wake yuko in States... bado unamshauri apate real thing...
 
Afu nishawahi sikia haya mambo ya kupandisha hamu bila kufanya real thing huwa yna madhara kwa wanawake.Yanaleta ugonjwa wa kuchekacheka na kupagawa.
hahaha hiyo kali ...
 
now u r talking... nothing can bit the real thing but huyu dada mume wake yuko in States... bado unamshauri apate real thing...

my dia its all about hw u tune yourself
nimewahi kuwa na long distance relationship n I tell u hii inawezekana kabisa, ndo maana nakwambia ushauri wa Nguli MJ1 na DN can be of great help na atashinda hivyo vishawishi vya muda mfupi......
siwezi kumshauri asaliti mahusiano yao hata siku moja loh, over my dead body!!!

tutarudi kule kule 'Hw long can u stay without Sex'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…