Strong 4922 decoda bora kwa FTA Television chanels

Strong 4922 decoda bora kwa FTA Television chanels

Ilisolokobwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
1,861
Reaction score
828

Habari za muda huu wana JF.
Napenda kuwataarifu kuwa sasa kuna decoda zijulikazo kama strong 4922 ambazo zipo vizuri sana kwa kupata chanel nyingi zaidi kuliko decoda nyinginezo.

Zifuatazo ni baadhi ti ya sifa ilizo nazo hii strong4922

1.mpg4 full hd

2.ina bisskey program itakayokuwezesha kufungua chanel ambazo ni scrambled ila zinafunguliwa kwa bisskey

3.youtube

4.pia inakubali accounts mbalimbali kama cccam, dqcam, tv1 nk

Kwa wale mliochoka na malipo ya kila mwezi kama mimi nawashauri mnunue decoda bora na mathubuti hii ya strong 4922 ili uepukane na malipo ya kila mwezi ya akina ving'amuzi vilivyojaa hapa Tanzania.

Naruhusu maswali.

attachment.php
 

Attachments

  • 1420725565618.jpg
    1420725565618.jpg
    91.3 KB · Views: 3,300
bei kwa dar ni 250000-230000

Ni DVB-S2 na DVB-T2?

Kama sio hivo basi sio best kwangu mm na watu wa lika la kawaida katika satellite world...

Kwa sasa kuna receiver nzuri sana kwa wateja wenu nyie tu ndo hamjui ku target soko...

Mfano angalia hii receiver SpeedHD S2 hii ni DVB-S/S2(MPEG2/4) na DVB-T/T2 yaani hapo Terrestrial TV zile zinashikwa na Startimes zote unazishika bila kuitaji Dish ni Antenna tu...Dish utaliitaji kwenye DVB-satellite
Na inakua na RF OUT
Ina edit BISS keys
Ina supoort Unpaired smartcards
Ina kubali server nyingi sana bila shida kama hiyo srt 4922
Ina support Youtube,youporn,IPTV etc
Ina support DLNA
Inakubali GPRS,3G Modems,WiFi,Ethernet etc

Na ikumbukwe hapa wateja wengi hawashiki complex channels ni ile Intelsat tu ya local channel, Amos 5,Arabsat,Astra 2f etc ambazo signal zake sio weak kiasi cha kuitaji receiver complex....

By the way kuna Model mpya kama srt 4950 ni more advanced kushinda srt 4922 sasa sijajua Ubora wa 4922 ni upi na bado Bei ya 230,000/= kwa receiver ya FTA naweza kusema mnapigwa tu hizo receiver Kenya ni 4000ksh mpaka 6000ksh sawa na 72,000/= mpaka 100,000/= sasa inakua je package inayokuja Dar au TZ ni bei kubwa hivo?

Hayo ndo yangu kwa leo
 
Mkuu una uhakika na ulichopost? hapa tunaelimisha na si kupotosha kaka.na mimi si mfanyabiashara wa strong, najua unaiponda ili uuze qsat zako.
 
Ni DVB-S2 na DVB-T2?

Kama sio hivo basi sio best kwangu mm na watu wa lika la kawaida katika satellite world...

Kwa sasa kuna receiver nzuri sana kwa wateja wenu nyie tu ndo hamjui ku target soko...

Mfano angalia hii receiver SpeedHD S2 hii ni DVB-S/S2(MPEG2/4) na DVB-T/T2 yaani hapo Terrestrial TV zile zinashikwa na Startimes zote unazishika bila kuitaji Dish ni Antenna tu...Dish utaliitaji kwenye DVB-satellite
Na inakua na RF OUT
Ina edit BISS keys
Ina supoort Unpaired smartcards
Ina kubali server nyingi sana bila shida kama hiyo srt 4922
Ina support Youtube,youporn,IPTV etc
Ina support DLNA
Inakubali GPRS,3G Modems,WiFi,Ethernet etc

Na ikumbukwe hapa wateja wengi hawashiki complex channels ni ile Intelsat tu ya local channel, Amos 5,Arabsat,Astra 2f etc ambazo signal zake sio weak kiasi cha kuitaji receiver complex....

By the way kuna Model mpya kama srt 4950 ni more advanced kushinda srt 4922 sasa sijajua Ubora wa 4922 ni upi na bado Bei ya 230,000/= kwa receiver ya FTA naweza kusema mnapigwa tu hizo receiver Kenya ni 4000ksh mpaka 6000ksh sawa na 72,000/= mpaka 100,000/= sasa inakua je package inayokuja Dar au TZ ni bei kubwa hivo?

Hayo ndo yangu kwa leo

Post hii ni ya kinafki sana... na haujui lolote kuhusu srt wewe... hivi unaisifiaje srt4950 eti iko more advanced sana wakati imeshindwa kufungua chanel ya idman ambayo iko fta siku zote.?

mbona sensor yake haina ngugu kuliko srt 4922... hivi unajua ktk srt toleo zote ni ipi kubwa.?

vipi kuhusu chanel modulation ni rcvr gani ambayo ina chanel modulation kubwa kwa sasa zaidi ya srt4922.?
 
Ni DVB-S2 na DVB-T2?

Kama sio hivo basi sio best kwangu mm na watu wa lika la kawaida katika satellite world...

Kwa sasa kuna receiver nzuri sana kwa wateja wenu nyie tu ndo hamjui ku target soko...

Mfano angalia hii receiver SpeedHD S2 hii ni DVB-S/S2(MPEG2/4) na DVB-T/T2 yaani hapo Terrestrial TV zile zinashikwa na Startimes zote unazishika bila kuitaji Dish ni Antenna tu...Dish utaliitaji kwenye DVB-satellite
Na inakua na RF OUT
Ina edit BISS keys
Ina supoort Unpaired smartcards
Ina kubali server nyingi sana bila shida kama hiyo srt 4922
Ina support Youtube,youporn,IPTV etc
Ina support DLNA
Inakubali GPRS,3G Modems,WiFi,Ethernet etc

Na ikumbukwe hapa wateja wengi hawashiki complex channels ni ile Intelsat tu ya local channel, Amos 5,Arabsat,Astra 2f etc ambazo signal zake sio weak kiasi cha kuitaji receiver complex....

By the way kuna Model mpya kama srt 4950 ni more advanced kushinda srt 4922 sasa sijajua Ubora wa 4922 ni upi na bado Bei ya 230,000/= kwa receiver ya FTA naweza kusema mnapigwa tu hizo receiver Kenya ni 4000ksh mpaka 6000ksh sawa na 72,000/= mpaka 100,000/= sasa inakua je package inayokuja Dar au TZ ni bei kubwa hivo?

Hayo ndo yangu kwa leo

Wewe jamaa unamatatizo sana unahitaji maombi ubadilike kwa kuambiwa umeshindikana kabisa. Umejaa utapeli ,uongo,fitina una kuwa kama una haki miliki hapa jf ya kuuza hizo rcva zako.

Mtu mwingine asi sibutu kutangaza bidhaa nzuri lazima utie fitna pia utangaze hzo bidhaa zako ambazo watu wamesha kustukia
Acha hizo fta idumu.
 
njunwa wamavoko,

nilicho note ktk maelezo yako yote hayo apo juu ni kwamba unaijua kua srt 4922 ni rcvr complex... wewe kwakua sio sat hunter.. unaiogopa mana hauna uwezo wa kuitumia.... waache wanao jua kuitumia waitumie na sio kuleta hoja za kinafk kwakua haujui chochote kuhusu srt...

ikumbukwe hakuja rcvr za.kishamba kama dongle q sat na nduguzake... bila acount hauzi rcvr..

ngoja nikwambie kitu.. kusaport account nyingi sio ndio kigezo cha ubora wa rcvr ndugu.
 
Last edited by a moderator:
Ni DVB-S2 na DVB-T2?

Kama sio hivo basi sio best kwangu mm na watu wa lika la kawaida katika satellite world...

Kwa sasa kuna receiver nzuri sana kwa wateja wenu nyie tu ndo hamjui ku target soko...

Mfano angalia hii receiver SpeedHD S2 hii ni DVB-S/S2(MPEG2/4) na DVB-T/T2 yaani hapo Terrestrial TV zile zinashikwa na Startimes zote unazishika bila kuitaji Dish ni Antenna tu...Dish utaliitaji kwenye DVB-satellite
Na inakua na RF OUT
Ina edit BISS keys
Ina supoort Unpaired smartcards
Ina kubali server nyingi sana bila shida kama hiyo srt 4922
Ina support Youtube,youporn,IPTV etc
Ina support DLNA
Inakubali GPRS,3G Modems,WiFi,Ethernet etc

Na ikumbukwe hapa wateja wengi hawashiki complex channels ni ile Intelsat tu ya local channel, Amos 5,Arabsat,Astra 2f etc ambazo signal zake sio weak kiasi cha kuitaji receiver complex....

By the way kuna Model mpya kama srt 4950 ni more advanced kushinda srt 4922 sasa sijajua Ubora wa 4922 ni upi na bado Bei ya 230,000/= kwa receiver ya FTA naweza kusema mnapigwa tu hizo receiver Kenya ni 4000ksh mpaka 6000ksh sawa na 72,000/= mpaka 100,000/= sasa inakua je package inayokuja Dar au TZ ni bei kubwa hivo?

Hayo ndo yangu kwa leo

Sio kweli kua toleo jipya la sasa la srt ni 4950... kwa taarfa yako tu saizi wametoa matoleo mawili ambayo ni 4922d plus na srt 4969x

kama haujui kitu uliza sio kuleta mambo ya ajabu ajabu tu...
 
binafsi nimemshangaa sana huyu jamaa, hata kama ni biashara hutaifanya kwa njia hii ya kuponda bidhaa zingine na kupamba za kwako.sasa kwa taarifa yako unazidi kujiharibia biashara yako na watu walishashtuka na hizo accounts zako.eti unathubutu kusema str4922 inauzwa 72000 huko Kenya.

Hata aliexpress sio bei hiyo kaka. hii jf si ya kwako ni ya Watanzania wote, na watanzania nawaomba muwe makini na huyu jamaa
 
jamaa muongo sana wewe arafu sio kweli kua toleo jipya la sasa la srt ni 4950... kwa taarfa yako tu saizi wametoa matoleo mawili ambayo ni 4922d plus na srt 4969x

kama haujui kitu uliza sio kuleta mambo ya ajabu ajabu tu...

Tatizo lake aliaminishwa kuwa hiyo rcva anayoinadi ni bora kuliko mnyama srt 4922...kuanzia leo atatamani kujaribu kuitumia hii mashine inayoweza kukumbatia channels 10,000!

Mimi nasubiri hizo srt atakazo ingiza toka kenya nakutuuzia kwa bukubuku! Anamasihara huyu jamaa hata bei na ubora wa srt 4950 haujui! kwaufupi rcva mpya yoyote inayoingia sokoni hunters wote tunainyambua kwanza kuijua undani wake teh teh teh...
 
Mimi mimependezwa sana na taarifa hii ya mtoa mada maana ni mpenzi sana wa Strong decorders
 
Mimi nimefurahishwa na topic hii ya mtoa mada kwa kuwa ni mpenzi wa Strong decorders.
 
Mimi napita tu ila rcva bora kwasasa ni srt 4922 hizo nyingine zooote niutapeli wa wachina tu! mnakumbuka enzi za g6 na watu zilivowafia? srt toka wakati huo bado imesimama tu atakayebisha hakika hajui kuitumia!
 
mkuu una uhakika na ulichopost? hapa tunaelimisha na si kupotosha kaka.na mimi si mfanyabiashara wa strong, najua unaiponda ili uuze qsat zako

Kwanza kosoa usemi wako mm siuzi QSAT kasome thread zangu zote...

Na post yangu haujaielewa isome upya ina maswali humo humo...
 
Kwanza kosoa usemi wako mm siuzi QSAT kasome thread zangu zote...

Na post yangu haujaielewa isome upya ina maswali humo humo...

Sasa kama huuzi qsat kwa nini uiponde strong, kilichowaudhi watu unasema kenya zinauzwa 72000tsh una uhakika na unachokisema?na unadhani wooote waliokujibu hawakukuelewa ?? Labda zipo fake made in somalia
 
post hii ni ya kinafki sana... na haujui lolote kuhusu srt wewe... hivi unaisifiaje srt4950 eti iko more advanced sana wakati imeshindwa kufungua chanel ya idman ambayo iko fta siku zote.?

mbona sensor yake haina ngugu kuliko srt 4922... hivi unajua ktk srt toleo zote ni ipi kubwa.?

vipi kuhusu chanel modulation ni rcvr gani ambayo ina chanel modulation kubwa kwa sasa zaidi ya srt4922.?

Umenijibu kwa hasira mm nakujibu kwa upole mpaka utajiona mjinga

Kajifunze kusome vizuri kila neno mtu analo andika kwanza afu ndo utakuja hapa tuanze ku jadili hii mada

Nakupa Clue za vitu nilivoongea hapo juu na wewe utapata majibu yako

Humo humo kuna maswali yanataka majibu hivo usikurupuke tu

Kama sio hivo basi sio best kwangu mm na watu wa lika la kawaida katika satellite world...


Na ikumbukwe hapa wateja wengi hawashiki complex channels ni ile Intelsat tu ya local channel, Amos 5,Arabsat,Astra 2f etc ambazo signal zake sio weak kiasi cha kuitaji receiver complex....


By the way kuna Model mpya kama srt 4950 ni more advanced kushinda srt 4922 sasa sijajua Ubora wa 4922 ni upi? ......
 
Sasa kama huuzi qsat kwa nini uiponde strong, kilichowaudhi watu unasema kenya zinauzwa 72000tsh una uhakika na unachokisema?na unadhani wooote waliokujibu hawakukuelewa ?? Labda zipo fake made in somalia

Tatizo ni comprehension(kusoma kwa ufasihi) ndugu yangu...

Mm nimeuliza swali kwa nn za bongo ni bei kubwa kuzidi za kenya nachoitaji ni jibu na sijaiponda Srt 4922 kama nimesema kitu cha uongo kuhusu srt emu ni quote au Bold sentesi
 
Back
Top Bottom