Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,681
- 8,707
Igweeeeeeeeeeeeee
Hapa naongea na wale wanaodhani kuchepuka ndo suluhisho ya kumaliza msongo wa mawazo.
Unakuta mtu ana matatizo na mahusiano yake labda hawana maelewano mazuri na mpenzi wake ye anaenda kutafuta suluhisho kwa mchepuko utadhani kuku anaehatamia mayai ya chatu baadae anamezwa yeye.
Unapochepuka ukae ukijua anaekuchepusha nae anachepuka we unadhani umemkomoa mpenzi wako kumbe umejikomoa
Mahusiano kuna shida na raha mnasaidiana na ugomvi unapotokea mnayamaliza sio kutwa kupigana kama paparazi nyumbani kwa Wema
Jifunzeni kuyamaliza sio kutwa kuachana na kuchanika kama fuko la shangazi kaja looooh am out
Hapa naongea na wale wanaodhani kuchepuka ndo suluhisho ya kumaliza msongo wa mawazo.
Unakuta mtu ana matatizo na mahusiano yake labda hawana maelewano mazuri na mpenzi wake ye anaenda kutafuta suluhisho kwa mchepuko utadhani kuku anaehatamia mayai ya chatu baadae anamezwa yeye.
Unapochepuka ukae ukijua anaekuchepusha nae anachepuka we unadhani umemkomoa mpenzi wako kumbe umejikomoa
Mahusiano kuna shida na raha mnasaidiana na ugomvi unapotokea mnayamaliza sio kutwa kupigana kama paparazi nyumbani kwa Wema
Jifunzeni kuyamaliza sio kutwa kuachana na kuchanika kama fuko la shangazi kaja looooh am out