Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,718
- 126,562
I bet umeshakuwa kibonge sasa hiviYaan Mwifwa huwa nina bahati nayo kuna maeneo nikienda lazima nikutane na mapupu yaan nakaa kabisa nakula weeh na chapati zangu
I bet umeshakuwa kibonge sasa hiviYaan Mwifwa huwa nina bahati nayo kuna maeneo nikienda lazima nikutane na mapupu yaan nakaa kabisa nakula weeh na chapati zangu
Wanakuja kukujibuMaji ya dafu yanyweka au mmehamia kwenye supu ya pweza
Yuko mtaani huko anazururaZa mimi salama.
Wapi KK?
Daah upo vizuri best, mie naona kuyatengeneza ni shidaah kweli kweliNilijifunza kula Kongoro pale Engineering COET! Sa hivi nimemaster mpk kuyatengeneza.
Usiombe upatwe na tumbo la mvurugiko usiku utaniambia....Mie vichwa vya kuku na utumbo yaan nikiona mahali akili inahama kabisa nipate na pilipili yenye ndimu ya kutosha weee nitakula balaah hata sijali mvurugiko wa tumbo hayo matokeo ni mbele kwa mbele![]()
Wewe!Si umwambie tu kama yanaitwa ma...mbu![]()
HiSawa
Sasa dada kama hujui mapupu si wa kishua wewe jamanAcha hizo bwana
Mzima sweetheart...Marahaba dada mzima wewe?
Ukirost na viazi mviringo dah...Maini mepesi![]()

Me silalii mwambie slim aendelee tuJamaani
Lala bana. Kuna Viumbe wanataka kupita hiyo njia wende na 50 zao!Me silali leo nakesha na Ney mpaka uzi wa usiku wa manane ongeeni tu yaan nipo