Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Mimi ni mteja wa huduma ya bima ya afya ya Kampuni ya Strategis.
Kampuni hii ni ya kihuni kupitiliza.
Kupata huduma stahili na kwa wakati kwao hilo halipo kabisa, mathalani, leo nimeenda hospitali, system yao ikasema kuwa sistahili kupata huduma za matibabu. Nikajaribu kupiga Call Centre kwa namba zifuatazo:-
0782 788 800
0782 000 200
0788 599 644, 0788 599 511, 0778 100 222, 0778 800 222, 0767 882 015, 0767 882 016, 0713 800 115 na 0713 800 117.
Kila nipigapo namba hizi zinaita kisha hupokelewa na kukatwa.
Nikajaribu kupiga namba 0754 777 100. Hii ilipokelewa na jamaa aliyepokea akasema yeye yuko kwenye ambulance. Nikamuuliza call center mbona hawapokei simu akanijibu kuwa huwa wakati mwingine wanachoka kuongea na wateja.
Akanipa namba ya Daktari Florah Minja namba 0782 206 982. Namba hii haipokelewi.
Kwenye hii hospitali niliyokuja kutibiwa wameniambia kuwa huu ni mchezo wa kawaida kwa wafanyakazi wa Strategis lnsurance. Hata wakurugenzi wao ni wagumu sana kwenye kulipa huduma za afya zilizotumiwa na wateja wao kwenye makampuni mbalimbali.
Ndugu Mtanzania, ni wakati sasa wa kukataa huduma mbovu za afya. Afya ndio msingi wa uhai wa mwanadamu.
Kwa kuwa Strategis imeshindwa kutoa huduma bora za afya, bora waingie mtaani wakasake vyuma chakavu kuliko kufanya haya wayafanyayo yanayopelekea uhai wa mteja kuwa matatani.
Kampuni hii ni ya kihuni kupitiliza.
Kupata huduma stahili na kwa wakati kwao hilo halipo kabisa, mathalani, leo nimeenda hospitali, system yao ikasema kuwa sistahili kupata huduma za matibabu. Nikajaribu kupiga Call Centre kwa namba zifuatazo:-
0782 788 800
0782 000 200
0788 599 644, 0788 599 511, 0778 100 222, 0778 800 222, 0767 882 015, 0767 882 016, 0713 800 115 na 0713 800 117.
Kila nipigapo namba hizi zinaita kisha hupokelewa na kukatwa.
Nikajaribu kupiga namba 0754 777 100. Hii ilipokelewa na jamaa aliyepokea akasema yeye yuko kwenye ambulance. Nikamuuliza call center mbona hawapokei simu akanijibu kuwa huwa wakati mwingine wanachoka kuongea na wateja.
Akanipa namba ya Daktari Florah Minja namba 0782 206 982. Namba hii haipokelewi.
Kwenye hii hospitali niliyokuja kutibiwa wameniambia kuwa huu ni mchezo wa kawaida kwa wafanyakazi wa Strategis lnsurance. Hata wakurugenzi wao ni wagumu sana kwenye kulipa huduma za afya zilizotumiwa na wateja wao kwenye makampuni mbalimbali.
Ndugu Mtanzania, ni wakati sasa wa kukataa huduma mbovu za afya. Afya ndio msingi wa uhai wa mwanadamu.
Kwa kuwa Strategis imeshindwa kutoa huduma bora za afya, bora waingie mtaani wakasake vyuma chakavu kuliko kufanya haya wayafanyayo yanayopelekea uhai wa mteja kuwa matatani.