alexjosephat
Member
- Feb 8, 2020
- 33
- 35
- Thread starter
- #21
AsanteeeHapo huna Mtoto ni vizuri ukaachana naye ukaendelea na maisha yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
AsanteeeHapo huna Mtoto ni vizuri ukaachana naye ukaendelea na maisha yako.
Mwanangu, kwa mwandiko huu acha tu mwanao alalewe na mshikaji....
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante nduguHapo umeshasema ulikuwa unamdanganya, yeye nae kaamua kukudanganya unaanza kulialia. Wew si uko kwa mjomba! Na yeye muache akulelee mtoto.
Pesa bandia, chain bandia.
Ushauri. Kama una msaidia, msaidie Kama rafiki yako tu, kuhusu mtoto Kama ni wako atakuja tu mwenyewe. Usifuatilie mtoto ambaye tayari ameshakabidhiwa kwa baba yake. So far mama ndo anajua mtoto ni wa nani! Wew endelea na mishe zako Mdogo Mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndipo anapoelekea..amuache tu dada wa watu na ndoa yake kwakweli.Mleta mada yalishamshinda akawa anamrukaruka mwenzake...
Awe mpole tu asije kumuharibia huyo mwanamke...
Cc: mahondaw