mkulu senkondo
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 1,889
- 3,620
Viumbe wanaoitwa wanawake huwezi kuendelea kuishi nao hasa kwenye tasnia ya mahusiano bila ya kujitoa kwenye suala zima la matumizi ya pesa! So for now my focus & concentration is not all about love affairs rather than doing other things which may accelerate my tomorrow prosperity.Pesa zinakupaje uroda labda? !
Nipo single sababu sijampata anayestahili moyo wangu,mwanaume atayenielewa,mwenye upendo Wa dhati,mwenye kujali,awezaye nitunza hadi kujiona mm ni special n.kZa Leo
Najua nimepotea sana ila nipo
Swali langu kubwa Kwako kabla sijaendelea na hadithi ni Kwanini Upo single?!
Ndio wewe hapo, naongea name wewe Kwanini Upo single?!
Dada/Kaka Mzuri, unamvuto, uko poa, mchangamfu, mtanashati, unakipato cha Kati, unagari, unakazi, una hela, hauna ajira, unabiashara zako, hauna kazi, unamaisha yako, unaishi Kwako, unaishi kwenu, handsome, gorgeous, Beautiful, wife material, husband material, etc etc
Vyote na quality zone unazo za kutokuwa single... lakini bado upo single
Najua ungetamani kuwa na mji wake, uwe na nyumba yako, maisha flani hivi amazing, unasomesha watoto ukiwa na mwenzako, unalea watoto ukiwa na mwenzako, mnaenda vacation na mwenzako na watoto wenu, mambo ya family goals flan hivi amazing, eh!
Haya mambo ya u single mother yanaboa sana kuwa single kunachosha jamaa, kukalia mitarimbo ya waume za watu kwa kujiiba hayajawahi kumwacha mtu salama na haujui lini utakamatwa na kuwekwa mitandaoni (hewamini) au kuchomwa moto kwa kuiba mume ya mtu, unatamani ukienda kwenye sherehe uende na mpenzi (mwenzi) wako ufurahi, uringishie, unatamani uoe (uolewe) urudishe heshima nyumbani na wewe uringe uwe kwenye chama jomooonii
Sipo hapa kukuhukumu maisha hayafanani na hutoa surprise kwa kila mja wa mola..
Nakuuliza kwa amani na upendo tu
Embu tuambie kwanini upo single?!
AiseeViumbe wanaoitwa wanawake huwezi kuendelea kuishi nao hasa kwenye tasnia ya mahusiano bila ya kujitoa kwenye suala zima la matumizi ya pesa! So for now my focus & concentration is not all about love affairs rather than doing other things which may accelerate my tomorrow prosperity.
Kwani wewe mwaminifu?!Mimi Niko Single sababu wanawake wa Siku hizi hamna uaminifu
Sensa inasema wanaume hawawezi kukaa pekeyao KWA muda mrefu unajiongezea SIKU ZA kufa BroNipo single kwa kuwa sijapata mtu mwenye nia ya dhati ya kuolewa.
Nikimpata naweka ndani (U-single hauzoeleki)
Hizi sifa best wewe unazo?!Nipo single sababu sijampata anayestahili moyo wangu,mwanaume atayenielewa,mwenye upendo Wa dhati,mwenye kujali,awezaye nitunza hadi kujiona mm ni special n.k
Yeeesu NA Maria!Ukioa au kuolewa na mhuni,kila siku itakuwa Foolish day. Lakini,ukiwa single,kila siku ni Independence day.
Ila mleta mada na mitalimbo ya watu,hapo ujue kama meshaushea si wa mtu tena,bali ni wa watu wengi,hivyo haina shida ukipewa we kalia tu.
Pole sanaMi nipo Single kwa kuwa nikiwafuata PM mabinti wa humu huwa sijivungi kuwatumia picha yangu ila wote huishia kunikimbia maana huwa wanadai eti NISIJE KUWAUA BURE kwa kuwamalizia Oxygen tutakapokuwa faragha maana nina Boooooonge la pua.
Ni ndani ya mwaka huu nitajitahidi nipate jikoSensa inasema wanaume hawawezi kukaa pekeyao KWA muda mrefu unajiongezea SIKU ZA kufa Bro
Kubali matokeo uwowe
NIPO best SIJUI weweMoney penny long time no see
Why"Am na' single again"...
MUNGU alisema sio vyema kukaa pekeyakoMoyo Wang tulia kwa bwana hapo kuna aman yote
Hivyo vingine n ubatili mtupu
√√√√√√