Story: Kwanini Upo Single?!

Me nilifikia wakati nataka kuowaa mara nikagundua mwenzangu analiwa na wengine....
 

Honey Money Penny salute!

Hata hivyo sababu za Teresia kupigwa na Mkurya ima kupigwa na Mmasai ama kuambulia 1nightStand hazipo wazi. Ni dharau kwa vile Teresia anacho kipato chake ama ni nini?

Nasubiri ushauri nasaha atakaopewa, labda nitajua chanzo cha mateso ya mwili aliyopitia Bi Teresa
 

Baadhi ya binadamu wa hovyo sana, wanaenda kanisani kujifunza kumtukuza shetani ama ni nini?

Imeandikwa: Mimi ndimi bwana Mungu wako, usiabudu miungu wengine. Halafu MTU anajitangaza mlokole kisha anamwabudu Mchungaji. Kwamba alisemalo mchungaji ndilo asemalo Mungu. Amkeni nyie, nani aliyewaroga!? Acheni kutafuta wachungaji, mtafuteni Mungu. Njia ya kweli na uzima inajulikana (Yohana 14:6).

Wachungaji watawachunga tu, hamtopata heri za Mungu.
 
Kukataa wanaume bila sababu za msingi...

Kusikiliza sana wachungaji, mwisho wa siku wanakuja kulala nao hao hao...

Kujiona wao ndiyo kila kitu juu ya uso wa dunia, wengine wote ni watenda dhambi...

Cc: mahondaw
Hii ni shida na hivi karibuni itakuwa ni janga la taifa
 
mimi tangu nione picha ya wale jogoo awili aliyeoa na aliye single mhh,sitokaa nioe maishani
Woi kwanini jamaa
Basi muoe Koku au Mwelu
Umewasoma lkn page ya 6 ya 9 na 11
 
Jamaaani Tereza mpole hana kiburi
Au unawajua nduguzako wagita ni viburi?!
 
Amen brother asante sana kwa neno
 
mimi tangu nione picha ya wale jogoo awili aliyeoa na aliye single mhh,sitokaa nioe maishani


Inshallah,Kuna Mtasha si Unajua Mji wa Kitalii ARUSHA alinipatia Wireless Router aliweka Bundle ya Mwaka Mzima kama zawadi so huwa nateleza nayo tu.


Nipo single kwa sababu nimeamua kuwa single

Nothing more


Me nilifikia wakati nataka kuowaa mara nikagundua mwenzangu analiwa na wengine....



niko single kwasababu ya mazingira tu koz ni mtu wa kuka peke yangu sana


Mje na huku Ushauri: mtu anaetaka kufanikiwa aachane na "Mapenzi" ajali maisha yake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…