Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,560
Za Leo
Najua nimepotea sana ila nipo
Swali langu kubwa Kwako kabla sijaendelea na hadithi ni Kwanini Upo single?!
Ndio wewe hapo, naongea name wewe Kwanini Upo single?!
Dada/Kaka Mzuri, unamvuto, uko poa, mchangamfu, mtanashati, unakipato cha Kati, unagari, unakazi, una hela, hauna ajira, unabiashara zako, hauna kazi, unamaisha yako, unaishi Kwako, unaishi kwenu, handsome, gorgeous, Beautiful, wife material, husband material, etc etc
Vyote na quality zone unazo za kutokuwa single... lakini bado upo single
Najua ungetamani kuwa na mji wake, uwe na nyumba yako, maisha flani hivi amazing, unasomesha watoto ukiwa na mwenzako, unalea watoto ukiwa na mwenzako, mnaenda vacation na mwenzako na watoto wenu, mambo ya family goals flan hivi amazing, eh!
Haya mambo ya u single mother yanaboa sana kuwa single kunachosha jamaa, kukalia mitarimbo ya waume za watu kwa kujiiba hayajawahi kumwacha mtu salama na haujui lini utakamatwa na kuwekwa mitandaoni (hewamini) au kuchomwa moto kwa kuiba mume ya mtu, unatamani ukienda kwenye sherehe uende na mpenzi (mwenzi) wako ufurahi, uringishie, unatamani uoe (uolewe) urudishe heshima nyumbani na wewe uringe uwe kwenye chama jomooonii
Sipo hapa kukuhukumu maisha hayafanani na hutoa surprise kwa kila mja wa mola..
Nakuuliza kwa amani na upendo tu
Embu tuambie kwanini upo single?!
KUPATA UHONDO HUU BONYEZA LINK IFUATAYO KWANINI UPO SINGO? – Money Star Stories
Najua nimepotea sana ila nipo
Swali langu kubwa Kwako kabla sijaendelea na hadithi ni Kwanini Upo single?!
Ndio wewe hapo, naongea name wewe Kwanini Upo single?!
Dada/Kaka Mzuri, unamvuto, uko poa, mchangamfu, mtanashati, unakipato cha Kati, unagari, unakazi, una hela, hauna ajira, unabiashara zako, hauna kazi, unamaisha yako, unaishi Kwako, unaishi kwenu, handsome, gorgeous, Beautiful, wife material, husband material, etc etc
Vyote na quality zone unazo za kutokuwa single... lakini bado upo single
Najua ungetamani kuwa na mji wake, uwe na nyumba yako, maisha flani hivi amazing, unasomesha watoto ukiwa na mwenzako, unalea watoto ukiwa na mwenzako, mnaenda vacation na mwenzako na watoto wenu, mambo ya family goals flan hivi amazing, eh!
Haya mambo ya u single mother yanaboa sana kuwa single kunachosha jamaa, kukalia mitarimbo ya waume za watu kwa kujiiba hayajawahi kumwacha mtu salama na haujui lini utakamatwa na kuwekwa mitandaoni (hewamini) au kuchomwa moto kwa kuiba mume ya mtu, unatamani ukienda kwenye sherehe uende na mpenzi (mwenzi) wako ufurahi, uringishie, unatamani uoe (uolewe) urudishe heshima nyumbani na wewe uringe uwe kwenye chama jomooonii
Sipo hapa kukuhukumu maisha hayafanani na hutoa surprise kwa kila mja wa mola..
Nakuuliza kwa amani na upendo tu
Embu tuambie kwanini upo single?!
KUPATA UHONDO HUU BONYEZA LINK IFUATAYO KWANINI UPO SINGO? – Money Star Stories
