Story: Kwanini Upo Single?!

Story: Kwanini Upo Single?!

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
18,204
Reaction score
17,560
Za Leo
Najua nimepotea sana ila nipo

Swali langu kubwa Kwako kabla sijaendelea na hadithi ni Kwanini Upo single?!

Ndio wewe hapo, naongea name wewe Kwanini Upo single?!

Dada/Kaka Mzuri, unamvuto, uko poa, mchangamfu, mtanashati, unakipato cha Kati, unagari, unakazi, una hela, hauna ajira, unabiashara zako, hauna kazi, unamaisha yako, unaishi Kwako, unaishi kwenu, handsome, gorgeous, Beautiful, wife material, husband material, etc etc

Vyote na quality zone unazo za kutokuwa single... lakini bado upo single

Najua ungetamani kuwa na mji wake, uwe na nyumba yako, maisha flani hivi amazing, unasomesha watoto ukiwa na mwenzako, unalea watoto ukiwa na mwenzako, mnaenda vacation na mwenzako na watoto wenu, mambo ya family goals flan hivi amazing, eh!

Haya mambo ya u single mother yanaboa sana kuwa single kunachosha jamaa, kukalia mitarimbo ya waume za watu kwa kujiiba hayajawahi kumwacha mtu salama na haujui lini utakamatwa na kuwekwa mitandaoni (hewamini) au kuchomwa moto kwa kuiba mume ya mtu, unatamani ukienda kwenye sherehe uende na mpenzi (mwenzi) wako ufurahi, uringishie, unatamani uoe (uolewe) urudishe heshima nyumbani na wewe uringe uwe kwenye chama jomooonii

Sipo hapa kukuhukumu maisha hayafanani na hutoa surprise kwa kila mja wa mola..

Nakuuliza kwa amani na upendo tu
Embu tuambie kwanini upo single?!

KUPATA UHONDO HUU BONYEZA LINK IFUATAYO KWANINI UPO SINGO? – Money Star Stories

 
Za Leo
Najua nimepotea sana ila nipo

Swali langu kubwa Kwako kabla sijaendelea na hadithi ni Kwanini Upo single?!

Ndio wewe hapo, naongea name wewe Kwanini Upo single?!

Dada/Kaka Mzuri, unamvuto, uko poa, mchangamfu, mtanashati, unakipato cha Kati, unagari, unakazi, una hela, hauna ajira, unabiashara zako, hauna kazi, unamaisha yako, unaishi Kwako, unaishi kwenu, handsome, gorgeous, Beautiful, wife material, husband material, etc etc

Vyote na quality zone unazo za kutokuwa single... lakini bado upo single

Najua ungetamani kuwa na mji wake, uwe na nyumba yako, maisha flani hivi amazing, unasomesha watoto ukiwa na mwenzako, unalea watoto ukiwa na mwenzako, mnaenda vacation na mwenzako na watoto wenu, mambo ya family goals flan hivi amazing, eh!

Haya mambo ya u single mother yanaboa sana kuwa single kunachosha jamaa, kukalia mitarimbo ya waume za watu kwa kujiiba hayajawahi kumwacha mtu salama na haujui lini utakamatwa na kuwekwa mitandaoni (hewamini) au kuchomwa moto kwa kuiba mume ya mtu, unatamani ukienda kwenye sherehe uende na mpenzi (mwenzi) wako ufurahi, uringishie, unatamani uoe (uolewe) urudishe heshima nyumbani na wewe uringe uwe kwenye chama jomooonii

Sipo hapa kukuhukumu maisha hayafanani na hutoa surprise kwa kila mja wa mola..

Nakuuliza kwa amani na upendo tu
Embu tuambie kwanini upo single?!

Hamna maisha ya raha kama ya single.
 
Back
Top Bottom