Stori ya kweli kuhusu wadada wa JF

Stori ya kweli kuhusu wadada wa JF

Status
Not open for further replies.

John W. Mlacha

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2007
Posts
3,504
Reaction score
1,343
Hawa watoto wanaokuja kuomba urafiki hapa jf kama hajakupa picha take usikubali kukutana naye.. Juzijuzi hapa mtoto ni me m pm akakubali kwani aliweka mwenyewe tangazo kuwa anatafuta mtu.. Mtoto akasuggest tukutane steers.. Mimi wa temeke sjawahi fika hapo sema nkaona nijichanganye tu ila mtoto nkajua huyu mgeni wa hapa dsm kwani kuna viota vikali vipya kuliko hio steers ya long...
Basi wa temeke nikajichanganya jioni nikawahi. Kabisa ili akija anikute na simu yangu ikawa silence nkangooja ajekwanza ili nione mtu atakayenipogia nithaminishe kwanza kabla ya ku m face... Kikatokea kibonge mwanaume si mwanaume dume si dume .. Kikakaa kikatoa sim kupiga sim yangu ikaita . Mh sikupokea nikasepa nilipofika mitaa ya nssf nkajifanya kumpigia kumuuliza uko wapi ... Akaniambia usje umechelewa .. Nikasema bora.. Nikasepa zangu.. So guys watch out!!!!
 
Lol!
Pole sana Best !

Kha ha ha ha ha ha ha haaaa!

theDEALER hebu salaam na huku!
 
Last edited by a moderator:
Hawa watoto wanaokuja kuomba urafiki hapa jf kama hajakupa picha take usikubali kukutana naye.. Juzijuzi hapa mtoto ni me m pm akakubali kwani aliweka mwenyewe tangazo kuwa anatafuta mtu.. Mtoto akasuggest tukutane steers.. Mimi wa temeke sjawahi fika hapo sema nkaona nijichanganye tu ila mtoto nkajua huyu mgeni wa hapa dsm kwani kuna viota vikali vipya kuliko hio steers ya long...
Basi wa temeke nikajichanganya jioni nikawahi. Kabisa ili akija anikute na simu yangu ikawa silence nkangooja ajekwanza ili nione mtu atakayenipogia nithaminishe kwanza kabla ya ku m face... Kikatokea kibonge mwanaume si mwanaume dume si dume .. Kikakaa kikatoa sim kupiga sim yangu ikaita . Mh sikupokea nikasepa nilipofika mitaa ya nssf nkajifanya kumpigia kumuuliza uko wapi ... Akaniambia usje umechelewa .. Nikasema bora.. Nikasepa zangu.. So guys watch out!!!!

Avatar zinawachanganya sana wanaume humu JF
 
Kaja kakusurubu hapa balaa uliogopa bill pale steers au ulikuwa huna hela baga? Ungempeleka feri mkale pweza na dagaa.

Steers unafikiri ningetumia kiasi gani bana hadi niogope .. Kuna KFC so good imefungulia mwenge unaijua?
Kwanza ningemnunulia kahawa apandwe na manyege tu basi.. Anyway .. Hii ndio dawa ya wasiotaka kutuma picha zao kabla..... Bora classmet amechukua dead ball
 
Steers unafikiri ningetumia kiasi gani bana hadi niogope .. Kuna KFC so good imefungulia mwenge unaijua?
Kwanza ningemnunulia kahawa apandwe na manyege tu basi.. Anyway .. Hii ndio dawa ya wasiotaka kutuma picha zao kabla..... Bora classmet amechukua dead ball

Classmate kachukua loose ball, vp uliona halipi? Mvuto hana? Wengine kama hana mvuto utakuta nyuma kajazia balaa huyo vp?
 
Classmate kachukua loose ball, vp uliona halipi? Mvuto hana? Wengine kama hana mvuto utakuta nyuma kajazia balaa huyo vp?

Staki kumchambua sana dada wa watu hapa.. Thread yangu imejitosheleza.
Nimekuuliza unaijua KFC mpya?
 
Staki kumchambua sana dada wa watu hapa.. Thread yangu imejitosheleza.
Nimekuuliza unaijua KFC mpya?

Uzuri yeye alikuchambua sana, KFC mpya ipo maeneo yepi nami nimpeleke mbaby
 
Title yake wanaume wa humu jf muache mapozi. Kakuponda mbaya, asijue ni mabaga fresh aka TMK
 
Poe sana mkuu,huyo kuanzisha thread kabla yako na kukuponda hana tofauti na aliyeanzisha ugomvi na kupigwa sana akawahi kufungua mashtaka,usihofu majaji wa jf. Tutawasuluhishia tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom