Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 552
- 1,117
Kuna nyumba moja ya kupanga bwana; kuna hao wakaka wawili wenye umri takribani 25 mpaka 30; ni mapacha wa kufanana kabisa yaani(Identical Twins) na wanafanana kila kitu.
Sasa hao wakaka wameanza kuwatatiza watu wakiwemo wapangaji wenzao hadi mwenye nyumba; kwani wana tabia ya kufanya kila kitu pamoja hadi kwenda kuoga pamoja na izo nyumba za kupanga bafu na choo nje; wota watafunga mataulo kiunoni na sabuni zao wanaenda uko hata chooni utakuta mwingine anaweza msubiria nje au anaingia naye.
Sasa kwa mara ya kwanza kwasababu hao ni mapacha watu wakaona kama wamezoea tu na ni ndugu wa damu etc ila iyo kwenda kuoga pamoja imewatatiza wengi hadi Mwenye nyumba na wazee wa mtaa ilibidi wawaite na kuketi nao kuwauliza kwanini watu wazima kama hao wanaenda kuoga pamoja? ( Hapo kila mtu anaogopa ushoga na incest ndan yake🤣)
Wakaka hao walicheka wakisema wao sio wapenzi na wala sio mashoga ila ni wamezoea kuoga pamoja tangia wadogo na wanashangaa kwanini watu wanaona ajabu. Wakaka hao ukiwaona wazuri, very masculine na hawana dalili yoyote ya ushoga ila habari ndo iyo. Nyie mnaonaje? Mnawaamini?😆
Sasa hao wakaka wameanza kuwatatiza watu wakiwemo wapangaji wenzao hadi mwenye nyumba; kwani wana tabia ya kufanya kila kitu pamoja hadi kwenda kuoga pamoja na izo nyumba za kupanga bafu na choo nje; wota watafunga mataulo kiunoni na sabuni zao wanaenda uko hata chooni utakuta mwingine anaweza msubiria nje au anaingia naye.
Sasa kwa mara ya kwanza kwasababu hao ni mapacha watu wakaona kama wamezoea tu na ni ndugu wa damu etc ila iyo kwenda kuoga pamoja imewatatiza wengi hadi Mwenye nyumba na wazee wa mtaa ilibidi wawaite na kuketi nao kuwauliza kwanini watu wazima kama hao wanaenda kuoga pamoja? ( Hapo kila mtu anaogopa ushoga na incest ndan yake🤣)
Wakaka hao walicheka wakisema wao sio wapenzi na wala sio mashoga ila ni wamezoea kuoga pamoja tangia wadogo na wanashangaa kwanini watu wanaona ajabu. Wakaka hao ukiwaona wazuri, very masculine na hawana dalili yoyote ya ushoga ila habari ndo iyo. Nyie mnaonaje? Mnawaamini?😆