Stop✋ baada ya 120+ speed kali

Stop✋ baada ya 120+ speed kali

Ros tomas

Member
Joined
Dec 11, 2017
Posts
48
Reaction score
36
Nimesimama kwenye sheli nawaza niongeze mafuta niendelee na safari au niache gari nipande basi Niko njia panda nimechanganyikiwa haswa naona mapicha picha nikitaka kuendesha gari tena
 
Uzuri kifo hakimbiwi....unaweza fia kitandani mkuu.
Kifo cha namna hii bwana mimi nakipenda sana kuliko vifo vingine vimejaa mateso mnooo ....

Yaani ikiwa siku zangu za kuishi zime Isha basi itokee tu nilale then nisiamke tena
 
Kifo cha namna hii bwana mimi nakipenda sana kuliko vifo vingine vimejaa mateso mnooo ....
Yaani ikiwa siku zangu za kuishi zime Isha basi itokee tu nilale then nisiamke tena
kifo kibaya sana hicho kama umepigwa sindano ya sumu, utakua umeumia vyakutosha kabla ya kufa
 
Fanya maombi, sala, dua au wasiliana na wakuu wako kulingana na imani yako then endelea kupanda basi huku ukiwa na gari yako inaudhi sana mnavyooshwa njiani.
 
Nimesimama kwenye sheli nawaza niongeze mafuta niendelee na safari au niache gari nipande basi Niko njia panda nimechanganyikiwa haswa naona mapicha picha nikitaka kuendesha gari tena
Mkuu, naomba kwanza nikupongeze kwa kuwa mmoja wa member wa jf wanao miliki chuma.
Kuhusu safari, sina ninacho weza nikakushauri
 
Mkuu shuka kimbia kwa miguu haraka sana mpaka hofu ikutoke .
 
Nimesimama kwenye sheli nawaza niongeze mafuta niendelee na safari au niache gari nipande basi Niko njia panda nimechanganyikiwa haswa naona mapicha picha nikitaka kuendesha gari tena
ACHA UOGA, KILA MTU ANA SIKU YAKE YA KUFA
 
Back
Top Bottom