Chinga boy
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 412
- 101
Wadau wa jf,j2 nilihudhuria tamasha la fiesta hapa Tanga kilicho nishangaza ni mlolongo wa magari yetu ktk hilo tamasha .Kulikuwa na zaidi ya magari 5 ya serikali.sifahamu kama ni maafisa toka wzra ya utamaduni au ndo walikuja kula bata kwa kutumia magari yetu,inauma sana