Atuambie kwanza kwa nini wamekimbia vikao"Kwangu mimi 'No reforms no election' haina mashiko...wanasema tuahirishe uchaguzi, hatuwezi kuahirisha ni jambo kubwa, ni jambo la kikatiba, - Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Stephen Wasira.
Yaani wandishi wengine, eti anamuuliza maswali na wakati huohuo anampa clue ya majibu. Sasa sijui ndo kuhoji kupi huko. Au ndo kujipendekeza Kwa wandishi Ili wapate uteuzi.Huyo anaemuhoji nikama yeye ndio anahojiwa.
Muandishi wa habari lazima ujue kuongoza kipindi ulete maswali ambayo watazamaji na wasikilizaji wako wanatamani kujua hasa wakati uliopo nasio kwenda tuu mradi maneno yanatoka.
Kwenye vyombo VYA habari, habari zenyewe na vipindi vyake reforms zifanyike
Mbona ya zamani hii? Ametumwa na nani?"Kwangu mimi 'No reforms no election' haina mashiko...wanasema tuahirishe uchaguzi, hatuwezi kuahirisha ni jambo kubwa, ni jambo la kikatiba, - Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Stephen Wasira.
Hebu ongezea na hii"Kwangu mimi 'No reforms no election' haina mashiko...wanasema tuahirishe uchaguzi, hatuwezi kuahirisha ni jambo kubwa, ni jambo la kikatiba, - Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Stephen Wasira.
"Kwangu mimi 'No reforms no election' haina mashiko...wanasema tuahirishe uchaguzi, hatuwezi kuahirisha ni jambo kubwa, ni jambo la kikatiba, - Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Stephen Wasira.