Chumvi yao
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,578
- 5,544
Wapi sudani miguu ndio mirefu na sio akili ndefuI
Ila sudan game ile walileta upinzani, chupuchupu mmarekani afe.
Wapi sudani miguu ndio mirefu na sio akili ndefuI
Ila sudan game ile walileta upinzani, chupuchupu mmarekani afe.
Wa kwanza, The Skyhook huzingatiwa kuwa mmoja wa wachezaji wa kikapu bora wa muda wote kuwahi kutokea kwenye historiaKareem Abduljabbbar na Hakeem Olajuwon ndio the best ever
sasahv game imebaki kwa point guards kina steph curry na kina luka doncic wanashindana kupiga 3points tu...Hakuna ile ladha ya kuwaona kina big men kama kina Shaq oneal n.kWa kwanza, The Skyhook huzingatiwa kuwa mmoja wa wachezaji wa kikapu bora wa muda wote kuwahi kutokea kwenye historia
Wa pili, The Dream Shake, huzingatiwa kuwa mmoja wa walinzi bora kuwahi kutokea katika historia ya kikapu, hana nafasi kwenye mijadala ya GOAT
Yes, game ime-change sana, franchise yenye PG wenye shabaha ya mitupo ya pointi 3 ndo dili kwa sasa, giants ballers ambao wengi ni C au PF si muhimu sanasasahv game imebaki kwa point guards kina steph curry na kina luka doncic wanashindana kupiga 3points tu...Hakuna ile ladha ya kuwaona kina big men kama kina Shaq oneal n.k
Hakuna kitu hapo wewe labda GOAT ukimaanisha hao ni mbuzi. Ila GOAT ni huyu King James jamaa wa basketball wanakuambia hawajawai kuona mtu kama yeye yaani kuna games kipindi yupo Cleveland cavaliers mtangazaji alimfananisha na computer yaani jamaa ana speed na mitupo fulani ya kibabe yaani mtangazaji utamsikia Jameees a man like computer 😂😂🙏🙏Wa kwanza, The Skyhook huzingatiwa kuwa mmoja wa wachezaji wa kikapu bora wa muda wote kuwahi kutokea kwenye historia
Wa pili, The Dream Shake, huzingatiwa kuwa mmoja wa walinzi bora kuwahi kutokea katika historia ya kikapu, hana nafasi kwenye mijadala ya GOAT
😂Hakuna kitu hapo wewe labda GOAT ukimaanisha hao ni mbuzi. Ila GOAT ni huyu King James jamaa wa basketball wanakuambia hawajawai kuona mtu kama yeye yaani kuna games kipindi yupo Cleveland cavaliers mtangazaji alimfananisha na computer yaani jamaa ana speed na mitupo fulani ya kibabe yaani mtangazaji utamsikia Jameees a man like computer 😂😂🙏🙏
Sana, LEBRON na D/WADE walimpa jina The Baby Face Assasin 😃Curry anajua kikapu..