Prince Nadheem
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 1,253
- 1,028
habari za zenu wana jf? nina imani kuwa wote mko salama. mie nina hoja yangu moja ya kiafya.
mke wangu ana mimba ya miezi minne sasa anakaribia w tano sasa.
ishu inakuwa hivi; mie nipo safarini kikazi hii ni wiki ya pili sasa na nategemea kurudi home ijumaa ya kesho kutwa.
utata unakuja ni kuwa mara nyingi nilikuwa namuona wife kasuka weaving au yebo yebo ila jana naongea naye kwenye simu ananambia yupo saluni anafanya steaming.
swali langu ni kuwa hiyo steaming haina madhara yeyote kwa mama wala mtoto?
naombeni michango yenu katika hili.
mke wangu ana mimba ya miezi minne sasa anakaribia w tano sasa.
ishu inakuwa hivi; mie nipo safarini kikazi hii ni wiki ya pili sasa na nategemea kurudi home ijumaa ya kesho kutwa.
utata unakuja ni kuwa mara nyingi nilikuwa namuona wife kasuka weaving au yebo yebo ila jana naongea naye kwenye simu ananambia yupo saluni anafanya steaming.
swali langu ni kuwa hiyo steaming haina madhara yeyote kwa mama wala mtoto?
naombeni michango yenu katika hili.