Hakuna kilicho zidi....bado mapato yapo chini sana kuliko ilivo kuwa kabal ya makinikia ban.
Baada ya kugundua uwezo wa kusagishia angalau ile 65% ya mapato ambayo inatokana na makinikia wataikoa kwa gharama nyengine.
Na hii haithibitishi kuwa kiwango cha dhahabu sio kikubwa kama kilivo tajwa kwenye ripoti za makinikia.
Pia uzalishaji na mapato ya serikali yataongezeka mara mbile kuliko sasa na kipindi chote cha zuio.
Hii ina maana hakuna ongezeko na hali ya uzalishaji na mapato hayatakua kama mwaka jana kurudi nyuma.
Hakuna cha kufurahia kwani hii ni dhahiri ripoti za makinikia zilidanganya umma juu ya uwepo wa dhahabu nyingi kwenye mchanga jambo ambalo sio kweli ni uongo wa mchana