Mtanzania Mzawa
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 401
- 405
Soma taarifa vizuri...mspende kuiombea serikali mabaya hii nchi ni yetu sote hivyo vyama vitapita. ..apo mshindi ni serikaliBadae tutasema mizigo bandarini imepungua, yale malori madereva watafute mashamba wakalime
Mkuu inapelekwa kwenye sehemu ya takataka, sasa hapo haijatupwa.Kopa inatupwa? Mkuu nadhani hujaelewa kinachozungumzwa umekurupuka
Soma taarifa vizuri...mbona mnapenda kuskia mabaya tu yakiipata serikali ya Tanzania hivi mmezaliwa Kenya au Uarabun? kwa ufupi mwizi ameshkwa pabaya tumia jicho la tatu kuiptia hiyo taarifa ukweli ni kua makampuni ya Madini yalikua yanatuibia na mawakala wao ambao wengine ni Watanzania wenzetu wasiolipenda Taifa letu ambao wengine baada ya awamu hii waliamua kuhama nchi...haya makampuni bado wanatakiwa kudhibitiwa vizuriKwahiyo serikali itakosa mapato yatokanayo na silver na copper, serikali imeingia cha kike asubuhi saa nne.
Serikali ni bora ihoji, je hiyo kopa inayopelekwa kwenye shimo la taka, hela yetu inakuwajeKopa inatupwa? Mkuu nadhani hujaelewa kinachozungumzwa umekurupuka
Mzgo uliokua unafichwa katika Maknkia naona wamesalimu amri imebidi wauzalishe uonekana baada ya wizi wao kushtukiwa...lazima wanyooke walipe kodi na waache utoroshaji wa madini kwa kigezo cha Maknkia
Make my words…Kama sio mwishoni mwa mwaka huu, mwanzoni mwa 2018 utasikia ACACIA wanajenga smelter hapa Tanzania.Ni hivi zamani walikuwa wanaprocess kiasi kidogo cha dhahabu hapa nchini, halafu sehemu kubwa inauzwa nje kama makinikia lakini ndani yake ni dhahabu. Ndio sababu wameyumbwa kibiashara kutokana na zuio la makinikia wakati pamoja na kwamba wanaendelea na uuzaji dhahabu kama kawaida. Yaani Makinikia yalikuwa na faida kubwa zaidi kuliko dhahabu. Maajabu!
Wewe hujui kitu kuhusu hili. Tuhoji hela yetu ya kopa inalipwaje. TuwaulizeSoma taarifa vizuri...mbona mnapenda kuskia mabaya tu yakiipata serikali ya Tanzania hivi mmezaliwa Kenya au Uarabun? kwa ufupi mwizi ameshkwa pabaya tumia jicho la tatu kuiptia hiyo taarifa ukweli ni kua makampuni ya Madini yalikua yanatuibia na mawakala wao ambao wengine ni Watanzania wenzatu wasiolipenda Taifa letu ambao wengine baada ya awamu hii walaiamua kuhama nchi...haya makampuni bado wanatakiwa kudhibitiwa vizuri
Pia serikali ina mpango wa kujenga. ..Acha wajenge uko ndan kutakua na vyombo vya Ulinzi vya kukagua na pia watatoa ajira...vile vile nchi jirani zitatumia kuchakata madini yao hivyo mapato ya serikali yataongezekaMake my words…Kama sio mwishoni mwa mwaka huu, mwanzoni mwa 2018 utasikia ACACIA wanajenga smelter hapa Tanzania.
Unaposema "kutupwa" inaweza kujenga picha tofauti! Makanikia haya ozi au kupungua, hata miaka 100 ijayo tunaweza kupata hayo madini yaliyopo ndani yake!Badala ya kuzalisha kopa, silver na dhahabu kama walivyokuwa wanasema, sasa wanazalisha dhahabu na silver tu. Kopa yote wanatupa, je nani amepata hasara. Umejiuliza hili swali.
Unawapenda sana ACCACIA sio?Pole ila wezi lazma wathibitiwe hii nchi si shamba la bibiYaani sasa hivi Acacia wapo wapo tu,wamenyimwa uhuru kwa mkataba ulio wazi kabisa...so sad
Ni Mark my words mkuu. Tuheshimu lugha za watu.Make my words…Kama sio mwishoni mwa mwaka huu, mwanzoni mwa 2018 utasikia ACACIA wanajenga smelter hapa Tanzania.
Hawazalishi tena makinikia, bali ni miche ya dhahabu ambayo ina na silver. Je umejiuliza kopa inaenda wapiUnaposema "kutupwa" inaweza kujenga picha tofauti! Makanikia haya ozi au kupungua, hata miaka 100 ijayo tunaweza kupata hayo madini yaliyopo ndani yake!
You need to look on the big picture. Mfano, Ni bora kupewa shilingi moja sasa hivi na kuonwa mjinga au husubiri miaka miwili au mitatu upate shilingi 100!Kwahiyo serikali itakosa mapato yatokanayo na silver na copper, serikali imeingia cha kike asubuhi saa nne.
Mkuu hoja ya copper,Rhodium and other precious metals iko pale pale sisi sio mburulaHawazalishi tena makinikia, bali ni miche ya dhahabu ambayo ina na silver. Je umejiuliza kopa inaenda wapi
Kabisa lazma wezi na mawakala wao wanyookeHaya ndio mazungumzo sasa...!!
Kabudi kaza buti
ahsante lissu, ulisema yote haya lakini ukaishia kupigwa risasi. hatuibiwi kwenye matope Bali kwenye dhahabu yenyewe na mikataba mibovu tuliyoingia wenyewe.Mzgo uliokua unafichwa katika Maknkia naona wamesalimu amri imebidi wauzalishe uonekana baada ya wizi wao kushtukiwa...lazima wanyooke walipe kodi na waache utoroshaji wa madini kwa kigezo cha Maknkia
Kwenye financial districts, London na New York kuna brokers hawaijui Tanzania lakini wanajua jina "Magufuli aka Bulldozer". Investors wanaanza kumuheshimu.Wameanza kuheshimu taratibu za Magufuli, safi sana, mimi kwenye suala la wakwepa kodi automatically naungana naye Magufuli
Bora ukae kimya kama hujaelewa kuliko kutoa lawama zisizo na tija wakati huu....Alafu kesho utasikia wanafanya mambo kwa siri wakati kila wanachofanya hukiweka wazi kwa serikali na wana hisa wao.
Wametuibia kupitia sheria na mikataba tuliosaini na si vinginevyo.
Tuache kujikosha na kutafuta kick wakati ujinga ulikuwa wetu.
Tatizo ni kuwaona wale wanaohoji maamuzi ya wale tunaowaona "miungu watu" kama wasaliti.
Hata sasa kuna mambo watu wakihoji wanaonekana kama wahalifu lakini huko baadae yatakuja kututokea puani.