hatedthemost
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 424
- 271
Habari wana JF naomba kuuliza kuhusu state of university of Zanzibar sana sana kwenye course kama doctor of medicine na a dental surgery.
Kwani kuna kozi ya MD uko?Habari wana JF naomba kuuliza kuhusu state of university of Zanzibar sana sana kwenye course kama doctor of medicine na a dental surgery.
YesKwani kuna kozi ya MD uko?
Kumbe sasa mkopo unapatikana? Ni shilling ngapi private sponsored student
Nadhani umeona mimi sijui ndio maaana nimeuliza hapa🥲🥲🥲kuniuliza mimi unanionea tuKumbe sasa mkopo unapatikana? Ni shilling ngapi private sponsored student
Utakua na pre knowledge angalau, baada ya kupata intrest uko......Nadhani umeona mimi sijui ndio maaana nimeuliza hapa🥲🥲🥲kuniuliza mimi unanionea tu
Kama una interest nawe cheki kma kuna pre knowledge mkuu.Utakua na pre knowledge angalau, baada ya kupata intrest uko......
interest imekuja sasa hivi baada ya kuona bandicoot lako, naona kwanini mwanangu angaike na muhimbili kwenye high competition na siasa nyingi wakati kuna vyuo vingine vinao toa hiyo kozi,Kama una interest nawe cheki kma kuna pre knowledge mkuu.
Sasa if you're interested why not dig in info?interest imekuja sasa hivi baada ya kuona bandicoot lako, naona kwanini mwanangu angaike na muhimbili kwenye high competition na siasa nyingi wakati kuna vyuo vingine vinao toa hiyo kozi,
Ndo nacho fanya sasa? Au unaona nakuuliza kuhusu nini? Info inaanza na weweSasa if you're interested why not dig in info?
Ila watz kasheshe jamaniNdo nacho fanya sasa? Au unaona nakuuliza kuhusu nini? Info inaanza na wewe
Course gani my dearSijui sana lakini naskia kuja competition sana kwa hiyo kozi
MDCourse gani my dear
Campus ya mbweni ya Suza ndo ipo ya health pekee na hizo kozi ulosema zote zipo unazozitaka na wabongo wapo wanosomea huku na mpka kupata ajira kwaio kma umeamua kuja kusoma Zenji karibu sanaaHabari wana JF naomba kuuliza kuhusu state of university of Zanzibar sana sana kwenye course kama doctor of medicine na a dental surgery.
Shida ni mtu ametoka clinical medicine suza tu ndio wanapokea dental surgery.MD kachague Muhas, kcmc,bugando, UDOM or udsm.
Dental nenda muhimbili au udsm.
NB:Kama hakuna ulazima wa kwenda Zanzibar
And kwanini kama hamna ulazima aacheCampus ya mbweni ya Suza ndo ipo ya health pekee na hizo kozi ulosema zote zipo unazozitaka na wabongo wapo wanosomea huku na mpka kupata ajira kwaio kma umeamua kuja kusoma Zenji karibu sanaa
Anhaaa
Kumbe campus iko mbweniCampus ya mbweni ya Suza ndo ipo ya health pekee na hizo kozi ulosema zote zipo unazozitaka na wabongo wapo wanosomea huku na mpka kupata ajira kwaio kma umeamua kuja kusoma Zenji karibu sanaa