Buana waswahili na ubesho hawana mwisho duh Washington dc na California....kwanini usituletee mada ya kwanini Dodoma mji mkuu wa Tz hauna stedi ya ma basi wakati aSigida na Moro zina stedi za ma basi zakimatsifa? Unataka kutuaminisha kwamba unajua miji ya Marikani kuliko kwenu Bukoba au Mwanza?