Stashahada ya JK

Hahahhahahaha mkuuuuuu duuuu!
 
Mh!mtaalamu wa kuchakachua aliyebobea!!
 
Hii ilikua udom je udom ishafikia kutoa shahada ya uzamivu??? Ndo maana wana mchakachua na yeye
 
duuuuuuuuu hilo dongo, ila jk haja stuka kweli huyu ni mbumbumbu!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Cant u bring us someting new?!, acha kurudia post za watu.
 
Imetulia mkuu... Bado shahada zingine zinakuja mana huyu jamaa ni muhhitimu wa kila nyanja...:blah:
 
Shahada za siku hizi
Mardadi saana, mardadi saana, mardadi saana!
Kikwete, Mkapa, wachakachuaji,
Mardadi saana

Hii kali mkuu, nitaiweka kumbukumbu kwa wajukuu zangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…