Startimes wakanusha Huduma ya channel kwenye startimes

Startimes wakanusha Huduma ya channel kwenye startimes

Status
Not open for further replies.

komandoyosso

New Member
Joined
Oct 11, 2017
Posts
1
Reaction score
0
kama unatumia kingamuz cha startimes nyumbn kwako kile cha anternal au dish naingiza channel za dstv ziko 209 na za Azam TV zipo package 3 popote ulipo nakupa huduma unachofanya unanitumia smart card nakupa huduma nafanya Kaz kwanza nafanya 45000 mwaka mzima free

c204532d53424c5c41aa68e7698beba8.jpg


======

UPDATES:

Startimes wakanusha.

habari zenu!

tafadhari startimes tunapenda kutoa tahadhari, kuwa huduma hii ni ya kitapeli, tumeshapokea malalamiko mengi kwa wateja wetu kuhusu kutapeliwa na mtu huyu. Tafadhari tunaomba mchukue tahadhari kwa hili.

hivi sasa startimes tumeshafikisha taarifa vyombo vya sheria, na kwa kushirikiana na jeshi la polisi tumeunda timu yetu kwa ajili ya kumnasa mtu huyu.

maelezo tafadhari piga 0764700800-0677700800
 
We jamaa inawezekana hii? Nimeiskia skia Ila bado siamini..wapo watakutafuta mzee huduma safi sana hiyo
 
habari zenu!

tafadhari startimes tunapenda kutoa tahadhari, kuwa huduma hii ni ya kitapeli, tumeshapokea malalamiko mengi kwa wateja wetu kuhusu kutapeliwa na mtu huyu. Tafadhari tunaomba mchukue tahadhari kwa hili.

hivi sasa startimes tumeshafikisha taarifa vyombo vya sheria, na kwa kushirikiana na jeshi la polisi tumeunda timu yetu kwa ajili ya kumnasa mtu huyu.

maelezo tafadhari piga 0764700800-0677700800
 
habari zenu!

tafadhari startimes tunapenda kutoa tahadhari, kuwa huduma hii ni ya kitapeli, tumeshapokea malalamiko mengi kwa wateja wetu kuhusu kutapeliwa na mtu huyu. Tafadhari tunaomba mchukue tahadhari kwa hili.

hivi sasa startimes tumeshafikisha taarifa vyombo vya sheria, na kwa kushirikiana na jeshi la polisi tumeunda timu yetu kwa ajili ya kumnasa mtu huyu.

maelezo tafadhari piga 0764700800-0677700800
Namba zake hizo mpigieni mumkamate. Au mnamuogopa
 
Wewe umesema huduma safi sana hii.
Lazily watu wajue kazi za decoder ni Kama za simu. Kuna tigo Voda n. K.
Pia haiwezekani vocha moja ukatumia mwaka mzima.

Sasa ni wewe ndio ungenistua Mimi na si kunifananisha na Tapeli ndugu...maisha yangu yame base ktk technology najua nilichomaanisha hapo kwa mtoa post
 
Sasa ni wewe ndio ungenistua Mimi na si kunifananisha na Tapeli ndugu...maisha yangu yame base ktk technology najua nilichomaanisha hapo kwa mtoa post
Ok.washtue wenzio. Vocha ya Voda haiingii kwenye laini ya tigo
 
habari zenu!

tafadhari startimes tunapenda kutoa tahadhari, kuwa huduma hii ni ya kitapeli, tumeshapokea malalamiko mengi kwa wateja wetu kuhusu kutapeliwa na mtu huyu. Tafadhari tunaomba mchukue tahadhari kwa hili.

hivi sasa startimes tumeshafikisha taarifa vyombo vya sheria, na kwa kushirikiana na jeshi la polisi tumeunda timu yetu kwa ajili ya kumnasa mtu huyu.

maelezo tafadhari piga 0764700800-0677700800
Msitupangie cha kufanya na nyie,c mna huduma mbovu sa tufanyeje,ngoja me nimfate tapeli
 
Msitupangie cha kufanya na nyie,c mna huduma mbovu sa tufanyeje,ngoja me nimfate tapeli
Mc hizi umeua Star times wana huduma mbovu sana wawaache watu wapambane na hali zao.. star times walete ving'amuzi vyenye picha safi sio picha za ukungu ukungu.. na michannel ya bure wao wanauza ni utaperi kama mleta mada
 
Mc hizi umeua Star times wana huduma mbovu sana wawaache watu wapambane na hali zao.. star times walete ving'amuzi vyenye picha safi sio picha za ukungu ukungu.. na michannel ya bure wao wanauza ni utaperi kama mleta mada
Wanakera mkuu
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom