Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,529
- 12,365
vyote viko pouwa ...ila TING unapata uefa champion league..hiii iko chini ya ATN....STAR TIMES unapata tbc,chanel ten,clouds tv..EASY TV cjui kwa kweli ingawa inasifiwa...bt uamuzi ni wako..mkuu..zote bei pouwa...
Coverage je? maana star times wamasema mikoa ya DSM, Dodoma na Arusha, je hiyo Easy TV wao wapoje?