Mkaa Mweupe JF-Expert Member Joined Jun 29, 2007 Posts 654 Reaction score 185 Jul 19, 2015 #1 Ndugu wanajamvi, Nimeshangazwa na king'amuzi cha startimes kujiupdate na kuondoa star tv, itv na eatv. Je hii ni kwangu tu au ndio mpango mzima?
Ndugu wanajamvi, Nimeshangazwa na king'amuzi cha startimes kujiupdate na kuondoa star tv, itv na eatv. Je hii ni kwangu tu au ndio mpango mzima?
kanywa Senior Member Joined Apr 29, 2015 Posts 195 Reaction score 67 Jul 19, 2015 #2 Kwangu ilikuwa hivo wamerudisha. Wanaboa kwelikweli.
Mkaa Mweupe JF-Expert Member Joined Jun 29, 2007 Posts 654 Reaction score 185 Jul 19, 2015 Thread starter #3 Wao ndio king'amuzi cha taifa halafu wanatybania wananchi. Haya mambo ya kisambuzi yanaboa sana.
shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,911 Jul 19, 2015 #4 Poleni wenye startimes,sijawahi kuwaza kuwa na hiki kisimbus.
Governor of Bettors-GB JF-Expert Member Joined Jul 14, 2013 Posts 10,734 Reaction score 9,915 Jul 19, 2015 #5 wakuu jana kuna uzi ulikuja wa nama hii,na startimes walielezea vizuri sana
SOGHOO JF-Expert Member Joined Mar 25, 2015 Posts 1,268 Reaction score 568 Jul 19, 2015 #6 Startimes ndio nini ? Mambo siku hizi iko AZAM. Hata DStv changu kiko sokoni. Twasubiri la liga na mechi za Liverpool kwa bei poa kabisa.
Startimes ndio nini ? Mambo siku hizi iko AZAM. Hata DStv changu kiko sokoni. Twasubiri la liga na mechi za Liverpool kwa bei poa kabisa.
KakaJambazi JF-Expert Member Joined Jun 5, 2009 Posts 18,830 Reaction score 12,292 Jul 19, 2015 #7 Mkaa Mweupe said: Ndugu wanajamvi, Nimeshangazwa na king'amuzi cha startimes kujiupdate na kuondoa star tv, itv na eatv. Je hii ni kwangu tu au ndio mpango mzima? Click to expand... Siku izi hakuna cha bure. Weka buku uone zote zitarudi.
Mkaa Mweupe said: Ndugu wanajamvi, Nimeshangazwa na king'amuzi cha startimes kujiupdate na kuondoa star tv, itv na eatv. Je hii ni kwangu tu au ndio mpango mzima? Click to expand... Siku izi hakuna cha bure. Weka buku uone zote zitarudi.
NetworkEngineer JF-Expert Member Joined Jun 21, 2012 Posts 1,973 Reaction score 1,204 Jul 19, 2015 #8 Nina decoder ya continental yaani najutaa kununua hili takataka hakuna channel za maana zaidi ya local Tv . pia hakina ubora kabisa ktk pichaa...
Nina decoder ya continental yaani najutaa kununua hili takataka hakuna channel za maana zaidi ya local Tv . pia hakina ubora kabisa ktk pichaa...
Daata JF-Expert Member Joined Dec 24, 2012 Posts 4,756 Reaction score 2,053 Jul 19, 2015 #9 abbaczo said: Nina decoder ya continental yaani najutaa kununua hili takataka hakuna channel za maana zaidi ya local Tv . pia hakina ubora kabisa ktk pichaa... Click to expand... Mimi ninaifurahia bure kupitia Azam.
abbaczo said: Nina decoder ya continental yaani najutaa kununua hili takataka hakuna channel za maana zaidi ya local Tv . pia hakina ubora kabisa ktk pichaa... Click to expand... Mimi ninaifurahia bure kupitia Azam.
Enzymes JF-Expert Member Joined Feb 14, 2013 Posts 4,332 Reaction score 3,018 Jul 19, 2015 #10 Hao ndio wawekezaji wa kichina! Kuna wengine kjirani zangu wanauza Spare za Pkpk. JK bhana tutakukumbuka sana!!
Hao ndio wawekezaji wa kichina! Kuna wengine kjirani zangu wanauza Spare za Pkpk. JK bhana tutakukumbuka sana!!
Mkaa Mweupe JF-Expert Member Joined Jun 29, 2007 Posts 654 Reaction score 185 Jul 20, 2015 Thread starter #11 KakaJambazi said: Siku izi hakuna cha bure. Weka buku uone zote zitarudi. Click to expand... Kwa taarifa hiki kisambuzi mimi huwa nalipa full na sitegemei kuangalia bure. Ila rahisi gharama. Wanakula hela zetu bure.
KakaJambazi said: Siku izi hakuna cha bure. Weka buku uone zote zitarudi. Click to expand... Kwa taarifa hiki kisambuzi mimi huwa nalipa full na sitegemei kuangalia bure. Ila rahisi gharama. Wanakula hela zetu bure.
K Kilamia Member Joined Jul 9, 2008 Posts 66 Reaction score 11 Jul 20, 2015 #12 Hata mimi imeondoa ITV, Star TV na ETV na ni karibu wiki sasa. Nina mpango wa kuachana nao
Khakha JF-Expert Member Joined Jul 15, 2009 Posts 2,981 Reaction score 1,013 Jul 20, 2015 #13 shululu said: Poleni wenye startimes,sijawahi kuwaza kuwa na hiki kisimbus. Click to expand... Mkuu mimi nimekitupa jalalani nimehamia AzamTV. Startimes in majanga hameni wakuu!
shululu said: Poleni wenye startimes,sijawahi kuwaza kuwa na hiki kisimbus. Click to expand... Mkuu mimi nimekitupa jalalani nimehamia AzamTV. Startimes in majanga hameni wakuu!