Startimes wanabana. Usipolipia sometime wanazikata zote . Ukibahatika wanakuchagulia station tatu tu.. mimi ninapata startv, itv na eatv. Hata hiyo tbc sijaiona ni zaidi ya mwaka sasa!!
Kwanza kinasumbua sometime huoni chochote wiki nzima.. mpaka waamue wenyewe.. ni kero!!