Aisee nimekusoma kiongoziMkuu si wewe tuu,kuna majirani zangu wawili na wao walikuwa na tatzo hilohilo,wakawatwangia costomer service,wakaambia walipie kwanza kifurushi ndo wataendlea kupata huduma kama mwanzo(local Chnl.).
Kwaio inawezekana na ww hukuwahi kulipia tangu uliponunua,Chakufanya Nunua kifurushi,waku activate kwa mara nyngne.
No huwezi I think wamevilock but kwa azam unaweza ongeza frequency. Labda ununue decoder ya azam then utumie hilo dish la zuku. But lazima ulipandishe kidogo kwenda location ya azam tv satellite au ununue free to Air decoder ndo utaongezea frequency kwa location hiyo hiyo zuku.Wadau eti kunauwezekano wa kupata free channels kwenye kingamuzi cha zuku
Wadau nimerudi tena, naomba msaada wenu.
Chaneli zifuatazo hazioneshi kbs na sijaelewa tatizo ni nn
Tbc1, tbc2, tv1, chaneli10, star tv.
Msaada tafadhali. Kingamuz nimeipia.