Kilakshari
JF-Expert Member
- Dec 13, 2008
- 350
- 20
Mbona hawapewi kadi hawa! Hiyo sio rafu? Wanataka kutuulia kipa wetu?
Hata mimi nahisi hivyo. Wakiona hakuna dalili ya goli refa atawasaidia kwa kutupunguza halafu watumie hiyo advantageKuna harufu ya red card hapa!
Hata mimi nahisi hivyo. Wakiona hakuna dalili ya goli refa atawasaidia kwa kutupunguza halafu watumie hiyo advantage