bikira latifah
JF-Expert Member
- Oct 27, 2016
- 836
- 2,805
Unapozungumzia Starlink jua umegusa maslahi ya Mmarekani, wenzetu huwa wana tabia moja ukileta figisu kwenye biashara yao jua na wewe ya kwako itapigwa chini yaani pasu kwa pasu.
Nipe nikupe kama vile China inavyopigwa Ban sometime kuingiza bidhaa Marekani na wao wanalipiza yaani biashara yenye usawa ndio ulimwengu ulivyo sasa
Ni muda muafaka mitandao ya simu ijipange mambo yakuuziwa GB 1 ,2100 speed ya kobe yamefika ukingoni
Pia soma
- Starlink yawasilisha maombi ya leseni kwa TCRA. Je, safari hii watatoboa? Ushindani wa gharama na ubora wa internet utakuwaje?
Nipe nikupe kama vile China inavyopigwa Ban sometime kuingiza bidhaa Marekani na wao wanalipiza yaani biashara yenye usawa ndio ulimwengu ulivyo sasa
Ni muda muafaka mitandao ya simu ijipange mambo yakuuziwa GB 1 ,2100 speed ya kobe yamefika ukingoni
Pia soma
- Starlink yawasilisha maombi ya leseni kwa TCRA. Je, safari hii watatoboa? Ushindani wa gharama na ubora wa internet utakuwaje?