Rajabu Msechu Member Joined Apr 13, 2016 Posts 35 Reaction score 18 Jul 16, 2016 #1 Hbr zenu wananchi wa JF, natumaini kwa uweza wake Maulana hatujambo. Kama bango linavyojieleza, nauza gari aina ya Toyota Starlet. Imelipiwa vibali vyote na ipo kwenye hali nzuri kabisa. Nimeambatanisha na picha zake. Bei inaanzia Milioni 6.3 huku mazungumzo yakiwepo. 0717 54 73 25.
Hbr zenu wananchi wa JF, natumaini kwa uweza wake Maulana hatujambo. Kama bango linavyojieleza, nauza gari aina ya Toyota Starlet. Imelipiwa vibali vyote na ipo kwenye hali nzuri kabisa. Nimeambatanisha na picha zake. Bei inaanzia Milioni 6.3 huku mazungumzo yakiwepo. 0717 54 73 25.
MU-ARSENAL JF-Expert Member Joined Sep 21, 2012 Posts 956 Reaction score 597 Jul 16, 2016 #2 Starlet 6M duu
mdukuzi JF-Expert Member Joined Jan 4, 2014 Posts 22,323 Reaction score 56,062 Jul 16, 2016 #3 kwa usawa huu wa awamu ya 5 sina uhakika kama utapata mteja kwa bei hiyojaribu kupunguza labda milioni 5
kwa usawa huu wa awamu ya 5 sina uhakika kama utapata mteja kwa bei hiyojaribu kupunguza labda milioni 5
Makuku Rey JF-Expert Member Joined Dec 31, 2013 Posts 3,730 Reaction score 4,426 Jul 17, 2016 #4 mh!maisha yamebana kweli!starlet mil 6!!
mfereji maringo JF-Expert Member Joined Nov 19, 2010 Posts 1,043 Reaction score 263 Jul 20, 2016 #5 5m kama bado ipo
nzalendo Platinum Member Joined May 26, 2009 Posts 12,901 Reaction score 14,611 Jul 21, 2016 #6 Kule kupatana nimekutana na starlet mil.3 na imesimamia kucha. Usawa huu,lazima tuheshimiane sana. Kule Mbeya wanasema mbombo ngafu
Kule kupatana nimekutana na starlet mil.3 na imesimamia kucha. Usawa huu,lazima tuheshimiane sana. Kule Mbeya wanasema mbombo ngafu