Star tv kwanini inabagua kusoma gazeti la mwanahalisi na raia mwema?habari za upinzani hurukwa ktk magazeti,kwanini hv?
Mkuu,kabla sijatoa mchango wangu,ni LAZIMA ukumbuke kuwa:
1:MAGAZETI yana MAANA PANA SANA!!!
Hii ni kutokana na sababu ZIFUATAZO:
a/MAGAZETI ni MAJARIDA yenye MAANDISHI yaliyo undwa na MANENO ambayo yana VIPENGELE vidogovidogo zaidi vinavyo itwa HERUFI!!
Kila herufi Kubwa hapo juu inabeba maana inayojitegemea!
2.WAPINZANI ni MAANA mbaya ZAIDI!!
Kwani lina maana kama NNE HIVI:
a/Walio zoea kupinga
b/Wahaini Nk!
3. MWANAHALISI,MTANZANIA,RAIA MWEMA,TBC au TV TUKUYU zina MAANA zinazotofautiana!!
KWANI:
1.KILA MOJA INA MAANA YAKE.
2.kila moja Linatoka Mara MOJA KWA WIKI na
MBAYA ZAIDI,
Kila wiki kwa Kila moja maudhui yanatofautiana!!
INAYO UMIZA KICHWA SANA ni kuwa MWAKA una WIKI 52 na sina UHAKIKA wewe UNA WIKI NGAPI?
-Baada ya kuyasoma maswali yangu na Kuyaelewa,hivyo kukupa uwanja mpana zaidi wa kujieleza:
1.RUDI HAPA.
2.Soma MAELEZO YANGU ili YAKUSAIDIE kujenga HOJA NZURI ZAIDI.
3.MIMI na GREAT THINKERS WENZAKO TUTARUDI HAPA,ili Kuona Uwezekano wa Kuchangia Kwa kukufungukia zaidi!
MY TAKE:
ubongowamwananchi says thanks for this very useful post!!
Mkuu nimesoma post yako kuhusu Vipi Gazeti la Mwananchi sikukuelewa. Nimesoma hapa.sijakuelewa tena!Mkuu,kabla sijatoa mchango wangu,ni LAZIMA ukumbuke kuwa:
1:MAGAZETI yana MAANA PANA SANA!!!
Hii ni kutokana na sababu ZIFUATAZO:
a/MAGAZETI ni MAJARIDA yenye MAANDISHI yaliyo undwa na MANENO ambayo yana VIPENGELE vidogovidogo zaidi vinavyo itwa HERUFI!!
Kila herufi Kubwa hapo juu inabeba maana inayojitegemea!
2.WAPINZANI ni MAANA mbaya ZAIDI!!
Kwani lina maana kama NNE HIVI:
a/Walio zoea kupinga
b/Wahaini Nk!
3. MWANAHALISI,MTANZANIA,RAIA MWEMA,TBC au TV TUKUYU zina MAANA zinazotofautiana!!
KWANI:
1.KILA MOJA INA MAANA YAKE.
2.kila moja Linatoka Mara MOJA KWA WIKI na
MBAYA ZAIDI,
Kila wiki kwa Kila moja maudhui yanatofautiana!!
INAYO UMIZA KICHWA SANA ni kuwa MWAKA una WIKI 52 na sina UHAKIKA wewe UNA WIKI NGAPI?
-Baada ya kuyasoma maswali yangu na Kuyaelewa,hivyo kukupa uwanja mpana zaidi wa kujieleza:
1.RUDI HAPA.
2.Soma MAELEZO YANGU ili YAKUSAIDIE kujenga HOJA NZURI ZAIDI.
3.MIMI na GREAT THINKERS WENZAKO TUTARUDI HAPA,ili Kuona Uwezekano wa Kuchangia Kwa kukufungukia zaidi!
MY TAKE:
ubongowamwananchi says thanks for this very useful post!!