Aaronium
Senior Member
- Oct 31, 2011
- 129
- 9
Doto Elias na timu yake! Coverage ya hii kitu haiwezi kuwa na maana Tanganyika wakati kule Zbr kwenyewe haitiliwi maanani,pia wa-Zbr kupanda kwa umeme hakuwagusi ambapo ni issue ambayo ipo na inatugusamoja kwa moja,mapinduzi hayatuhusu,hayapunguzi ugumu wa maisha bara,halafu yanaudhi zaidi kwa sbb nchi ile inapewa umeme bure,sisi twalazimishwa kuwalipia,siye Tanganyika tunayetu ya muhimu,na nyie km nchi mna ya kwenu,pia magazeti ya Tnyk hayanunuliwi,na hamuwezi kutune radio Tumaini ambao wamecover mapinduzi