Star TV na media coverage ya sherehe za mapinduzi Zbr

Star TV na media coverage ya sherehe za mapinduzi Zbr

Aaronium

Senior Member
Joined
Oct 31, 2011
Posts
129
Reaction score
9
Doto Elias na timu yake! Coverage ya hii kitu haiwezi kuwa na maana Tanganyika wakati kule Zbr kwenyewe haitiliwi maanani,pia wa-Zbr kupanda kwa umeme hakuwagusi ambapo ni issue ambayo ipo na inatugusamoja kwa moja,mapinduzi hayatuhusu,hayapunguzi ugumu wa maisha bara,halafu yanaudhi zaidi kwa sbb nchi ile inapewa umeme bure,sisi twalazimishwa kuwalipia,siye Tanganyika tunayetu ya muhimu,na nyie km nchi mna ya kwenu,pia magazeti ya Tnyk hayanunuliwi,na hamuwezi kutune radio Tumaini ambao wamecover mapinduzi
 
Doto Elias na timu yake! Coverage ya hii kitu haiwezi kuwa na maana Tanganyika wakati kule Zbr kwenyewe haitiliwi maanani,pia wa-Zbr kupanda kwa umeme hakuwagusi ambapo ni issue ambayo ipo na inatugusamoja kwa moja,mapinduzi hayatuhusu,hayapunguzi ugumu wa maisha bara,halafu yanaudhi zaidi kwa sbb nchi ile inapewa umeme bure,sisi twalazimishwa kuwalipia,siye Tanganyika tunayetu ya muhimu,na nyie km nchi mna ya kwenu,pia magazeti ya Tnyk hayanunuliwi,na hamuwezi kutune radio Tumaini ambao wamecover mapinduzi

Kumbe tatizo hupati*Tumaini? Pole, Kwani hii tumaini ndio nini huku Visiwani?
 
Back
Top Bottom