Kimboka ni hivi. D/ Chris katoa hoja kwamba describe! Umejaribu kufafanua bt still ufafanuzi wako haujaonesha kidhio toshelevu sanjari na heading yako, vingevyo itapelekea speculation labda mna migongano/mikwazano ya kimaslahi baina yenu, e.g labda hilo gazeti alilohusishwa nalo (Jamhuri) pengine laweza kua tishio la gazeti unalohusika nalo wewe! Angalizo source ya haya ni mawazo yng baada ya kua "Tuongee asubuhi" Star nimeckiliza na nikaperuzi thread yako.