STAR TV - Jicho letu ndani ya habari

STAR TV - Jicho letu ndani ya habari

Kurunzi

Platinum Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
10,196
Reaction score
11,623
Kipindi ni jicho letula habari hoja Dr. Slaa alikuwa sahihi kusema Dr. Slaa kusema waandishi wa habari si watafiti hawana uweledi.

Mwana JF Paschal Mayalla ndani ya mada.

Dr.slaa alisema Lowassa hakujaza fomu za maadali katika tume ya maadili.

Dr. slaa anadocument muhimu sana za richmond ambazo inapaswa kuwanazo baraza la mawaziri hili libaashiria nini?
 
Kipindi ni jicho letula habari hoja Dr. Slaa alikuwa sahihi kusema Dr. Slaa kusema waandishi wa habari si watafiti hawana uweledi.

Mwana JF Paschal Mayalla ndani ya mada.

Dr.slaa alisema Lowassa hakujaza fomu za maadali katika tume ya maadili.

Dr. slaa anadocument muhimu sana za richmond ambazo inapaswa kuwanazo baraza la mawaziri hili libaashiria nini?
Sio Paskal Mayalla yule....yule ni Pasco. Hawa ni watu wawili tofauti
 
Last edited by a moderator:
Nahisi wanahabari wetu wanajitahidi kutafuta habari, ila si kazi nyepesi maana kila anayeulizwa anasema si msemaji wa hiki au kile...! Hivyo siamini kama ni sahihi kusema hawafanyi utafiti, sheria zetu za kupata msemaji wa idara tu au taasisi ni kazi kwelikweli...sasa wanabaki nao wanategemea kudodosa kilichosemwa kwenye majukwaa ya siasa ambapo hapasemi ukweli. Unaweza kupata habari toka website za mihimili yetu ya serikali lakini nayo haiko uptudate mara nyingi hivyo kuandika habari iliyopitwa na wakati wakati huo si documentary article haina maana pia. Tukitaka watafiti, walio na mamlaka wawaruhusu kupata habari...wakipata habari wanafungiwa magazeti umeona Mwanahalisi na mengine mengi...wanafanya kazi katika mazingira magumu na kipato kidogo...tuwape support wanayostahili tutapata habari murwa.
 
Waandishi wenyewe kama hawajisimamii na walikuwa lundo pale Serena alipowaambia hawana weredi na wao walikuwa wanakeneka tu nani awasimamie sasa?
 
Kipindi ni jicho letula habari hoja Dr. Slaa alikuwa sahihi kusema Dr. Slaa kusema waandishi wa habari si watafiti hawana uweledi.

Mwana JF Paschal Mayalla ndani ya mada.

Dr.slaa alisema Lowassa hakujaza fomu za maadali katika tume ya maadili.

Dr. slaa anadocument muhimu sana za richmond ambazo inapaswa kuwanazo baraza la mawaziri hili libaashiria nini?
Hatimaye Kufilisika kwa Sahara Media: Kodi kubwa za TRA zinaua Biashara au ni Usimamizi Mbovu wa kina Diallo?

Hakuna TV poa kama Star TV
P
 
Back
Top Bottom