wadau hivi kuwa wakala wa Star times na DSTV nn vnatakiwa au uwe na mtaji wa shngp? na je faida zake ni zipi? je maombi ya uwakala unayatuma wapi?
Kuwa na king'amuzi chas star times ni kujitakia presha tu. Mimi ninacho lakini ukitaka nitakupa bure ili uwagawie wengine
nakuomba ww ushauri ili kurahisisha..ili nikienda pale niwe nimejipanga....na nhc haujui kama mm npo kijijini so inahitaji niandae nauli.........upo hapo?Nenda office zao Fanya utafti acha kuwa mzito Wa kufikiri wewe.