Star Link watoa Free Interent kwa Tanzania

Star Link watoa Free Interent kwa Tanzania

How you'll be connected? 🤣🤣 ,matangazo mengine yanaogopesha hadi wateja
 
Starlink wana kifaa chao kinacho commujicate na satellite then kinatoa wifi
Ndiyo, najua. Mimi nimesema huwezi kufanya connection kati ya simu na satellite moja kwa moja. Pia kumbuka hata ukiunga kwenye satellite kwa kutumia hicho kifaa, bado utategemea infrastructure ya nchi husika.
 
Back
Top Bottom