Star Chamber Courts

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
50,159
Reaction score
96,224
Huku ndiko wauaji akina Masaju et al wanataka kum subject Lisu! I am pretty sure Court of Appeal hawatakubali ushenzi huu as most likely case hii itakwenda mpaka Court of Appeal!
  • Private Examination of Witnesses:
    In the Star Chamber courts, witnesses were often examined privately, incognito, and their testimony was recorded as written evidence.

  • This practice was a departure from the common law's later development of public trials, where witnesses were examined in open court, and their testimony could be challenged by the opposing party.
Sasa Masaju and DPP wanataka kuirudisha Tanzania miaka ya 1485-1642,ilipokua inatumika Uingereza na watawala makatili enzi hizo
 
Uchunguzi wa Kibinafsi wa Mashahidi:
Katika Chumba cha Nyota, mashahidi mara nyingi walikaguliwa faraghani, na ushuhuda wao ulirekodiwa kama ushahidi ulioandikwa. Kitendo hiki kilikuwa ni kujitenga na maendeleo ya baadaye ya sheria ya kawaida ya kesi za umma ambapo mashahidi walihojiwa katika mahakama ya wazi, na ushuhuda wao ungeweza kupingwa na upande unaopinga.
 
Leo Lissu Katoa shule nzuri ya Sheria. Na pia ameweka wazi kuwa Kuna watu 27 wamehukumiwa kunyongwa Tanzania kwa kutumia Star Chamber Courts.
 
Tunamshukuru TAL kuendelea kututoa gizan
 
Kuna namna nchi inatakiwa kumtumia huyu jamaa hana future kubwa kwa taifa hili.
 
Naona aibu,hii nchi kuijenga katika mifumo ya haki na uwajibikaji itachukua muda sana
 
asante kwa tafsiri.
Nadhani hapa JF wote wanaelewa kiingereza angalau cha kuombea maji......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…