hiyo programme niliipania sana nahisi ndio sababu ya kutofanya vizuri kwanye test yao, ya kwanza nilifaulu nikajiona kuwa hapa nitapita kwenye hatua ya pili, wakanitumia ya kimahesabu zaidi nikaona ahaa ni rahisi dah nikachemsha, ila ukweli nimejilaumu mwenyewe na wala sikuweza kulalamika na nimejifunza sana kwenye hili tusidharau chochote hasa kitu kinachoitwa online test, jamaa walinitumia vizuri hii link na wakanipa muongozo kabisa kuwa kabla hujaanza fanya review test ambayo walikuwa wameiweka kabla sijaanza nilichokifanya nikasoma instruction tu na sikufanya pre test nilijilaumu sana, na hawana cha huruma maana nililia nilia wakaniambia wataniweka kwenye programme ya kenya or uganda sasa nasubiria, tuombe mungu tu wanitumie,