Staili ya Mgomo

Mhafidhina

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2008
Posts
549
Reaction score
23
Cheki staili ya mgomo...! Nakumbuka staili kama hii ilitumika na wazee wa madai ya afrika mashariki...! Kivumbi cha FFU walikiona...!


 
Ebwana stail ya ukweli! nimeipenda km vipi 2kigoma iwe hivyo
 
Du! Hiyo kali,kama we mwajiri itabidi uwabembeleze tu!hmn ujanja.
Ila uku kwetu mkifanya hvy,police walivyo washenzi watawamwagia maji ya kuwasha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…