STAHIKI ZA MTUMISHI ALIYEHAMISHWA

STAHIKI ZA MTUMISHI ALIYEHAMISHWA

Godian Ngunguti

Senior Member
Joined
Feb 26, 2013
Posts
115
Reaction score
26
Wanandugu,
Habari.
Kutokana na muendelezo wa kuhamisha watumishi toka sehemu A kwenda sehemu B hasa walimu toka shule moja kwenda nyingine,inaweza kuwa toka katika shule za misingi kwenda shule nyingine ya msingi au kutoka sekondari kwenda sekondari au pia shule za misingi,ninaomba mwenye kuelewa anijulishe ni nini mtu aliyehamishwa anastahili alipwe??
Utaratibu wa kisheria unasemaje kuhusu hayo malipo,ni nini hasa anatakiwa lazima alipwe na mwajiri wake??
Ahsanteni
 
Kuna stahiki zifuatazo
1.Malipo ya usumbufu
2. Fedha ya mizigo
3.nail ya familia, yaan mkeo na watoto wanne
 
Back
Top Bottom