St. Marry Mazinde Juu iko juu


Father Damian alifundisha Magamba???miaka gani??mwenye data embu aseme...mie sijawahi sikia....

na pia kifungilo nayo ni st. naniii?
 
Rosylene kukufahamisha tu Kifungilo ilikuwa inaitwa Kifungilo St.Mary's Primary School kabla haijawa Secondary.
Father Damian alikuwa Magamba Secondary kama Padri ni sawa na Father Peter alivyokuwa Kifungilo. By the way nimesoma Kifungilo
Ukiweza mtafute Sister Fidesta nasikia amerudi Kifungilo atakujuza zaidi. Nadhani nimejitahidi kujibu swali lako.
 

Magamba ni shule ya serikali na imebaki kuwa ya serikali...

nimekaa hapo MZJ for 2 years na sijawahi sikia Father damian km aliwahi kukaa magamba..

hao Magamba boys,walikuwa wanakuja kusali tu kila jumapili hapo MZJ...

Nimejaribu kuwauliza ex-MZJ pia,wanasema hawajawahi sikia jambo hili...
 
Ni miaka mingi kidogo tangu Father Damian alipokuwa Magamba tangu Kifungilo ni primary school
 
Dear Pakawa, It was interesting to read your questionings about me and Sister Msaki.

Actually I taught at Magamba boys from 1981 to 1988.Before that I taught at Nsumba in Mwanza from 1974 to 1981. I arrived in Tanganyika in 1960 and lived in the South(Lindi) building Namupa Seminary teaching at LIndi, Ndanda etc until I went to Mwanza.

Am still at Mazinde Juu, and Kongei building and being manager. We also have an english medium primary school at Mabughai. Sister Eveta is now the headmistress (class of 91). Sister Msaki is now Headmistress at Joyland Secondary in Same.

I am presently in the US for some eye and ear medical care but will return to Tanzania the beginning of June. I have written a book about some of my experiences in Tanzania, soon to be published.

I greatly miss all of my My Mazinde Juu Girls. God Bless and be good.

Father Damian
 
hizi picha zimenikumbusha mbali kweli,i used kuwa mpiga drum na hii ilikuwa kukimbia inspection..basi wapiga drumz wote tulikuwa tunajiita 'fujo'memberz..dah!
 

ha ha ha, mabadiliko ya kimwili hayo wakuu - hapo omba mungu tu mwanao asikuvalie nusu ya mwili nje -

kazi tunayo wazazi, mbaya zadi utangulize 3 wa kike then wawe kama hao picha ya chini - wao watakwambia Dad, were goint with time we wa zamani - things have changed dadiiii......
 
Shule ni nzuri upande wa mazingira na pia academics wanajitahidi sana mimi nawapongeza walimu pamoja na wanafunzi wote.
 

kiasilimia Mazinde wako juu sana mkuu
MAZINDE KIFUNGILO
Div 1 = 61.9% Div 1 = 50.5%
Div 2 = 23.8% Div 2 = 29.3%
Div 3 = 14.2 Div 3 = 16.3%
Div 4 = 4.3%
 
Shule ina mandhari maridhawa sana, kama mtoto ana kichwa safi akipata admission tu hapo ni Divisheni II guaranteed, then anakomaa kidogo kuipeleka kwenye Divisheni I
 
nimekumbuka nilipokuwa st. mary's queen of the apostles... sengerema seminary

dah... niliingia pale nikiwa na wito kama tani 60.......lakini leo haujai hata kifuniko cha karamu.....

multi vo calte pauce electe........waitwao ni wengi wateule ni wachache.
 
Father Damian alifundisha Magamba???miaka gani??mwenye data embu aseme...mie sijawahi sikia....

na pia kifungilo nayo ni st. naniii?

padre ameshajibu hoja yako mama tena kwa ufasaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…