ST.JOSEPH VS DIT collages of engineering

ST.JOSEPH VS DIT collages of engineering

Victor 20

Senior Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
146
Reaction score
15
kipi kizuri kwa utoaji wa diploma of electron and electrical engineering kuanzia lectures,practical na ufaulu JE kuna utofauti wa "diploma of electrical" na diploma of electron and electrical engineering
 
kaka ol a gud college wat is matter ni concentration yako,but in a matter of education kama utafanya electrical and tonics engg itakupa wigo wakuchakua wap pa kwenda kama ni 'trical or 'tonics
 
sawa sawa mkuu nimekusoma kumbe kuna utofauti mkubwa kabisa nashukuru sana mwenyezi Mungu akubariki
 
bora usome kitu kimoja uwe competent kuliko kusoma vitu viwili vyote ukawa shalo,Nenda dit
 
kaka ol a gud college wat is matter ni concentration yako,but in a matter of education kama utafanya electrical and tonics engg itakupa wigo wakuchakua wap pa kwenda kama ni 'trical or 'tonics

Una ujumbe mzuri, lakini uandishi wako una mashaka!!
 
kazi kwelikweli leteni michango maana baada ya kufuatilia "st.joseph collage wanatoa diploma of electron and electrical engneering".na "DIT wanatoa diploma in electrica engineering" michango yenu ni msaada mkubwa wakuu
 
Chuo ni chuo ndugu yangu kama utakaa tu bila kutaka kujua hautojua vitu,,,ila kama unataka GPA ni bora uende st. Joseph kama chuo maarufu cha kuheshima ila utahenya nenda dit, electrical ni nzuri,,,watu wengi huwa hawajua kuwa mtu wa electrical anasoma na electronics pia hata kama haijatajwa hiyo electronics, zamani wakati vyuo vinaanzishwa kulikuwa na kozi ya Electrical tu pekee, sikuhizi ndio wametoa vijikozi vidogo vidogo kama hivyo electronics, telecom na computer, sina hakika na mtaala wa dit ila kwa ud mtu wa electrical anasoma sana Electronics
 
Ushahidi....ndugu yangu kamaliza degree ya computer engeneering akiwa na uppr 2 nd kashindwa kubadirsha screen ya laptop yangu iliyo pasuka.nikajiuliza "ni nini hichi!!!!" Nashaur DIT ndo wako vizuri zaid
 
Chuo kinahitaji bidii zako hususani kwenye practical wengine sio wazuri practical ila theory ndo inawabeba. Suala la umesomea chuo gani sio issue kama hutojituma hiyo itakuwa ni kazi kwako but all in all kwa kozi za electronics syllabus ya wahindi iko vizuri Dit Civil Mechanical na mambo ya Mining huko
 
heheh nenda st joseph ukajifunze discpline, chuo utaenda kilasiku bila kupenda, jiandae kupiga paper mara kwa mara ila mtafundishwa vitu vingi sana. Kuna jamaa alikuwa anafundisha st joseph sasa yupo dit kwa upande wake anasema st joseph wanafundisha sana na hata kwenye project zao wako vizuri, ila waliosoma hvyo vyuo si wapo humu wamshauri dogo sasa.
 
Ushahidi....ndugu yangu kamaliza degree ya computer engeneering akiwa na uppr 2 nd kashindwa kubadirsha screen ya laptop yangu iliyo pasuka.nikajiuliza "ni nini hichi!!!!" Nashaur DIT ndo wako vizuri zaid

Huo ni uzembe wake,kuna watoto wapo st.joseph mwaka wa tatu,hata chuo hawajamaliza,ila ni wachafu kwenye hiyo michezo,kupata GPA kubwa ni juhudi tu za kupiga misuli na kufaulu theory,haya mambo mengine technical ni kukomaa mwenyewe. Alikomaa sana na theory.
 
nenda dit kachukue biomedical equipment eng nakushauri
 
Nenda DIT mdogo wangu. Na usome Electrical Engineering ndani yake Electronics ipo kwa sana tu. Mie nimesoma hiyo course ila siyo DIT nilisomea MIST sasa wanaita MUST
 
kwahiyo mkuu unataka kusema ukipiga st.joseph hupati ajira hii mpya mkuu
 
Aisee ubora ni kile unachopata au kuingiza kichwani majina ya vyuo tu ila nakushauri nenda st.joseph mwaka wa kwanza utasoma course kibao wa 2 utachagua sasa ubase kwenye facult ipi
"Education is not a bulding house how we need in your brain chakula cha akili na roho"
 
Back
Top Bottom