Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
Halafu pesa za kununua wapinzani kwa pesa ipiSerikali ilipaswa kurizika na kodi wanayopata kwa mwezi tena kodi yenyewe anayokatwa mfanyakazi ni kubwa mno,wakaona haitoshi wakaamua kuchukua tena na hiyo michango ya mlala hoi.