SSRA, PPF, NSSF hawasomeki

SSRA, PPF, NSSF hawasomeki

Wekezeni kwenye kubeti tu mtatoboa, imagine ss hv M-BET dau limefikia million 140, sports pesa million miatatu na ushenzi Fulani hv, 3 mzuka dau limefika million 200, hapo sijagusia biko, tusua Mapene, insta moja, meridian, premier bet, princess nk...

hv ujasiri wa kufanya kazi awamu hii mnautoa wp enyi wadanganyika?

Chukua karatasi yako na peni tandika ubashiri wako kwa kutulia... Mshiko njenje....

Sasa nyie endeleeni kulia lia huko wkt mifwezwaa ya bulebule inamwagwa kila leo,

Wewe pinda mgongo huko kwa kufanya kazi, Mwl.endelea kuoga vumbi la chaki, kibosile wacha ac za maofisini ziendelee kumaliza mfumo wa upumuaji uone kama hiyo hela ya mafao kama hata utaikaribia nn kuipata..

Ahsanteni kwa kunisoma
 
Tulipiga kelele sana hili suala, naona moto unazidi kusambaa
 
Mkuu hao TUCTA ndo Jipu kabisa,yaani wao na serikali ya wanyonge ni kitu kimoja wanashindwa hata kutetea maslai ya wafanyakazi isitoshe wanakata tu 2%,pesa ya wafanyakazi kukata ruksa lakini kwenye kusimamia maslai ya wafanyakazi hujitenga kabisa, Viongozi katka hii inchi ni wabinafsi sana.
Mimi ile siku tu bungeni mibunge imepitisha hili nilimkumbuka sana zito, kuna wabunge wslipambana sana juu ya suala hili, lakini walizidiwa nguvu, kuna mbunge mmoja alisema... Wsnanchi watalia juu ya sheria hii, leo kweli wstu tunalia. Juu ya jili siwezi ipenda serikali hata sekunde.
 
Sasa wamekuja na kisingizio cha ati mtandao unasumbua. PSSSF ni janga lingine kama Richmond!!!
 
Wekezeni kwenye kubeti tu mtatoboa, imagine ss hv M-BET dau limefikia million 140, sports pesa million miatatu na ushenzi Fulani hv, 3 mzuka dau limefika million 200, hapo sijagusia biko, tusua Mapene, insta moja, meridian, premier bet, princess nk...

hv ujasiri wa kufanya kazi awamu hii mnautoa wp enyi wadanganyika?

Chukua karatasi yako na peni tandika ubashiri wako kwa kutulia... Mshiko njenje....

Sasa nyie endeleeni kulia lia huko wkt mifwezwaa ya bulebule inamwagwa kila leo,

Wewe pinda mgongo huko kwa kufanya kazi, Mwl.endelea kuoga vumbi la chaki, kibosile wacha ac za maofisini ziendelee kumaliza mfumo wa upumuaji uone kama hiyo hela ya mafao kama hata utaikaribia nn kuipata..

Ahsanteni kwa kunisoma

Fodio tunataka watupe hiyo hela yetu ili tu i invest kwenye hizo draw ... 3 mzuka nk. Hatutaki tena kuajiriwa. Ni ujinga mtupu. Huu sio wakati wa kumbembeleza mtu.....
 
Huu ndio utamu wa kuwa mtawala Tanzania...

Wananchi unawafanya unavyotaka alafu unajua kuwa mwisho wao ni kulalamika tu.....unawatizama wakilalamika huku umeshika glass yako ya wine huku unatikisa mguu.....

Ni raha snaa kuwa mtawala Tanzania
 
Back
Top Bottom